Nenda duka la Samsung utapata bei sahihi ila bei zake ni laki nne ata kwa bajeti yako ya laki tano unapata simu na chenji inarudi Na unakuwa umelipa kodi kwa taifa lako usisahau kudai risiti
Samsung wanauza laki sita Na 20 ila za 4g ila zipo za 3g pia laki tano unapata ila j5 ndio Bora katika j series hiyo j7 ni kioo kikubwa tu ila kwa ufanisi J5
Anastahili adhabu Kali sana tena adharani yaani hawa ndio wale wanawafata watoto kisa Mali je kama mtoto anapambana Na kesho Yake kwa kuwa anajua Ana baba wala mama ndio maana anafanya vizuri yaani nimeuzika sana kuona anamtaka mtoto kisa kafanya vizur
Kwa ushauri wangu tafuta utaratibu ikiwezekana tafuta wazee waende kuongea nao ila sio Leo wala mwezi huu wewe una dhambi sana Na inabidi utubu aiwezekani ukumbuke damu yako kisa tu imefaulu nyie ndio mnaotufanya wanaume tuonekane watu Wa ajabu
Na wewe utamfata huko kwa wàsaliti maana wote wanakimbilia uko pole sana naona ccm maslai imeamua kupambana matumbo yao hivi mkuu aliwafikiria kweli tangu muombewe Na mwenyekiti wenu
Na wewe utamfata huko kwa wàsaliti maana wote wanakimbilia uko pole sana naona ccm maslai imeamua kupambana matumbo yao hivi mkuu aliwafikiria kweli tangu muombewe Na mwenyekiti wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.