Wanajamvi
Nimeoa mwaka mmoja uliopita.Tumefanya juhudi za kupata mtoto mimi na wife wangu lakini bila mafanikio. Tulijaribu kumuona doctor akasema mke wangu ni mnene na kizazi chake kina mafuta mengi hivyo itakua ni vigumu kupata mimba. Sasa hivi ameanza mazoezi ya kukata uzito japo mafanikio...
kitambi ni heshima bwana.hata kama huna hela wadada watakuchangamkia tu. mwanaume is not concerned about giving a girl raha. ww tafuta mwingine wa kukupa raha na mm watajileta wenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.