Dah hawa jamaa wanapiga sana hela kuna documentary moja niliona ya South Africa jamaa aliamua kufatilia whats really behind hawa wanaojiita miungu watu.. Its really scary
Nimeagiza gari kupitia hawa jamaa autocom japan week mbili sasa sijapata mrejesho kutoka kwao, na hivi hawana office hapa bongo basi nabaki kujifariji tu sijapigwa na kitu kizito mwaka huu lols
Mkuu habari, ilikuchukua muda gani tangu ufanye malipo mpka gari yako kusafirishwa?
Mimi nimelipia gari week mbili sasa ila wamekua kimya wakisema nisubir ipatikane meli ya kusafirisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.