Kwenye kusoma soma pia niliona ukosefu wa madini hayo ya zinc ni sababu ya changamoto kama hizi, nimekua nakula vyakula hivo na kutumia dawa zenye virutubisho hivo kwa wingi
Hata mimi nimewaza itakuw hernia maana hata kuinua vitu vizito unasikia kabisa mishipa ya korodan inavuta. Natafuta daktar mzur ama hospital nzur kwa matatizo haya
Asante sana kwa ushauri yes ni mtumish mda mwingi ninakua nimekaa na pia kusimama vile vile, nimejaribu kurekebisha vyakula na mazoez lakin naona hali bado
Habari za majukum wanajamvi,
Nielekee moja kwa moja kwenye mada, nimekua napatwa na maumivu makali sana ya kiuno na kwenye mishipa inayoenda kwenye korodani.
Hali hii inatokea zaidi haswa baada ya tendo la ndoa. Kwa wenye ujuzi naombeni msaada wenu au kama kuna daktari mahsusi kwa kina baba...
Habari za majukum wanajamvi.
Ninahitaji huduma ya kupimiwa eneo langu ili ni process kupata hati ya kiwanja. Eneo lipo kibaha mkoa wa pwani. Any leads nitashukuru sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.