Recent content by Big Dy

  1. Big Dy

    Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    Asante sana, nimekua nikisikia usiteme mate choon pasipo kujua sababu
  2. Big Dy

    Msaada jamani hizi gari 3 Mazda CX5, Mitsubish Outlander SportsstyleEditon, Toyota Vanguard

    I will stand with outlander, for me naona iko vizur kuanzia consumption yake na maintenance
  3. Big Dy

    Ushauri: Siyaelewi haya maisha ya ndoa

    Vaa viatu vyake au wazaz wake utapata jibu.
  4. Big Dy

    Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

    Ni uonevu wa hali ya juu sana kwa kijana, nimeshangaa sana kwa azam tv habari kuonyesha tukio la kipumbavu kam hilo.
  5. Big Dy

    Mwamposa huyu mtoa shuhuda wako anayejifanya ni Mkongo amekosea Script ya uongo na maelekezo yako ya Kitapeli?

    Dah hawa jamaa wanapiga sana hela kuna documentary moja niliona ya South Africa jamaa aliamua kufatilia whats really behind hawa wanaojiita miungu watu.. Its really scary
  6. Big Dy

    Tokea Rais Samia aingie Madarakani Dar haijawa na hii Mvua Kubwa, ila Leo kaadhimisha Miaka yake Miwili tu it is raining cats and dogs

    Kwa mvua hii wale [emoji196] lazima washinde, kongole kwa madam président kazi nzur tunaiona
  7. Big Dy

    Nahitaji simu ya kutoka kampuni ya Xiaomi

    Xiaomi note 10 Pro 128GB full box. 600,000/=. Karibu mzee hutojutia pesa yako
  8. Big Dy

    Garage bora kwa Mistubish

    Hawa ni mafundi bubu sio professional
  9. Big Dy

    Garage bora kwa Mistubish

    Ilala nimepasikia wako vizur pamoja na accessories zake pia
  10. Big Dy

    Garage bora kwa Mistubish

    Habari wanajamvi, Kwa wakaazi wa jiji la darslam nauliza wapi naweza pata garage nzuri au wataalam wa gari za mistubish SUV wasio na longo longo.
  11. Big Dy

    Mtego wa wizi umemnasa mtoto wa jirani yangu je nitaishi kwa amani mtaani?

    Hahaha eti kelele mamaaa, dah wanakera sana ila hapo harudii tena kusogea hapo
  12. Big Dy

    Kuagiza gari na autocom Japan

    Nimeagiza gari kupitia hawa jamaa autocom japan week mbili sasa sijapata mrejesho kutoka kwao, na hivi hawana office hapa bongo basi nabaki kujifariji tu sijapigwa na kitu kizito mwaka huu lols
  13. Big Dy

    Kuagiza gari na autocom Japan

    Mkuu habari, ilikuchukua muda gani tangu ufanye malipo mpka gari yako kusafirishwa? Mimi nimelipia gari week mbili sasa ila wamekua kimya wakisema nisubir ipatikane meli ya kusafirisha
Back
Top Bottom