Ni Sheri tu hapo inaamua Ila jamaa agome kutoa talaka na akifika mahakamani aeleze sababu ya mkewe kutaka talaka, mahakama inaweza tupilia mbali madai hayo
Natafuta rafiki wa kike wa kuchati naye, kuhusu mengine ni makubaliano yetu Ila sio lazima mapenzi kama itatokea nikamgusia achukulie poa ikiwa hapendi.
Ni mgeni ndani ya jf naomba kujumuika katika kujifunza na kuchangia nanyi kwenye mambo mbalimbali ambayo hufanyika humu na pia kupata marafiki...na shukuru Kwa kunipokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.