Recent content by bieberchoculate

  1. B

    Simba SC yazidi kuimarisha kikosi chake na yamtangaza Elie Mpanzu

    Kama hapo ubelgiji tu kwenye ligi ambayo sio top five ya league kubwa duniani amefeli ujue sio mchezaji mkali ni wa kawaida unashindwa vipi majaribio ubelgiji
  2. B

    Tunautaka Uongozi wa Simba Sc uhakikishe Ateba habadilishani jezi yake baada ya Mechi na vifaa vyake vya mazoezi vilindwe kwa gharama yoyote

    Kumbe bado kuna wajinga wengi mpaka leo unaamini uchawi kwenye mpira ingekua hivyo nigeria si wangebeba world cup 100😁😁😁
  3. B

    Ellie Mpanzu asaini Msimbazi

    Utasema ana level za kina ronaldo mnavyoshangaa kwanza mchezaji kama ni mzuri asingefeli ulaya kimemshinda nini mpaka aje acheze huku kajamba nani
  4. B

    Kwenda degree kutoka diploma

    Wasiliana na chuo chako kama wataweza kuyatuma kwa wakati maana bila avn number kwa mtu aliyetoka diploma hautaweza kuapply chuo na mwisho ni week hii kuapply kwa dirisha la tatu wanafunga tarehe 13
  5. B

    Chuo kikuu cha Dodoma mbona technical team hampo serious kiasi hiki?

    Samahani hapa kwenye attachment panel unajaza nn tafadhali naomba msaada
  6. B

    Special Thread: Kwa waombaji wote wa mikopo kupitia HESLB 2018/2019

    Msaada tafadhali kwa mwaka wa masomo 2019/2020
  7. B

    Special Thread: Kwa waombaji wote wa mikopo kupitia HESLB 2018/2019

    Hivi kwa mwanafunzi alietoka diploma anatakiwa awe na g.p.a ya ngapi ili kupata mkopo wa kujiunga na ngazi ya degree???
Back
Top Bottom