Shegh! Likuepukalo lina heri nawe apo cha msingi ni kuachana na hilo suala na kumrudia Muumba wako kwani bado anakupenda! Jeee! Ulishawahi kumpitisha mbuzi kwenye maji ukiwa unamvuta kamba na jee uliweza kumvuta akapita?
Lazima iwepo 7bb mambo yetu sisi hayatengenezwi na binaadamu yapo tayari na yametulia na katu hatuwezi kukufateni nyinyi mnoamua sheria za Muumba kuzibadili na kuziweka za kwenu ambazo mlozitunga kwa maslahi yenu ya kidunia!
Hivi kuna uwezekano wa mtu kupangizia uzazi ikiwa unataka mtoto wa kike ama wa kiume au kama unataka watoto ''twins'' pacha! na kama upo uwezekano naomba nifahamishwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.