albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,404
- 687
Haya ni maneno ambayo watu wa mrengo fulani wanatumiana;
"Bwana Yesu asifiwe, Mtumishi wa bwana Yesu kumekucha wana wa Mungu. Mswada wa kutambuliwa kwa Mahakama ya Kadhi kisheria utapelekwa bungeni 1.4.2015 kama Mwanasheria mkuu wa Serikali, George Masaju alivyoahidi na kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria na Utawala wakikubaliana tumeumia.
Mateso kwa Wakristo yataanza kama wa Nigeria, Boko Haramu, Al-Shabab Somalia, n.k. Mwombe Mungu sana ashughulikie hiyo kamati ili wasikubaliane wapinge suala hilo.pia tumuombee ulinzi Mch Chr. Mtikila amefungua kesi kupinga Mahakama ya Kadhi Kanisa lishinde kesi hiyo iliyofunguliwa, Mahakama Kuu itaanza kusikilizwa tarehe 30/03/2015 tuombe Yesu awe ndie Hakimu wa jambo hili kila ifikapo saa 6 kamili usiku tuombe kwa pamoja sauti iwe moja kwa Mungu wetu funga lango hili la kuzimu lipo wazi Joka hili Mahakama ya Kadhi linajianda kuingia kupitia lango la Katiba Pendekezi. Tuma kwa Wakristo 15 ev Elias wa Biblia ni jibu Tz"
Sasa jamani haya mambo sio uchochezi? Natarajia majibu mazuri kutoka kwenu, sio hamaki!
"Bwana Yesu asifiwe, Mtumishi wa bwana Yesu kumekucha wana wa Mungu. Mswada wa kutambuliwa kwa Mahakama ya Kadhi kisheria utapelekwa bungeni 1.4.2015 kama Mwanasheria mkuu wa Serikali, George Masaju alivyoahidi na kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria na Utawala wakikubaliana tumeumia.
Mateso kwa Wakristo yataanza kama wa Nigeria, Boko Haramu, Al-Shabab Somalia, n.k. Mwombe Mungu sana ashughulikie hiyo kamati ili wasikubaliane wapinge suala hilo.pia tumuombee ulinzi Mch Chr. Mtikila amefungua kesi kupinga Mahakama ya Kadhi Kanisa lishinde kesi hiyo iliyofunguliwa, Mahakama Kuu itaanza kusikilizwa tarehe 30/03/2015 tuombe Yesu awe ndie Hakimu wa jambo hili kila ifikapo saa 6 kamili usiku tuombe kwa pamoja sauti iwe moja kwa Mungu wetu funga lango hili la kuzimu lipo wazi Joka hili Mahakama ya Kadhi linajianda kuingia kupitia lango la Katiba Pendekezi. Tuma kwa Wakristo 15 ev Elias wa Biblia ni jibu Tz"
Sasa jamani haya mambo sio uchochezi? Natarajia majibu mazuri kutoka kwenu, sio hamaki!