Recent content by Bibiharusi

  1. B

    PostGE2025 Rais Samia: Unaporudi na kulia leo "Kijana wako kaumizwa mguu au alikufa," ulishindwa nini kumzuia asitoke?

    Ikumbukwe Kuna watu walibebwa wakiwa manyumbani mwao hawakutoka bali polic waliwafuata ndani kuwatoa je pia nao wangezuiwa na nani na walikuwepo ndani.. Kingine sio Kila kijana ana wazee au ana Mzee au mzazi hao yatima wangeambiwa na nani kweli huyu mama ni gaidi roho ya kiburi na ujambazi...
  2. B

    PostGE2025 Mtoto mdogo kama huyu anapigwa risasi, mmeondoa uhai wake kikatili sana

    Kweli wewe sio mwanamke ni ibirisi mtoa roho hili halijaisha bado 😡😠🛠️⚔️
  3. B

    Nyumba za MC Pilipili Dodoma zazua gumzo

    Mh kweli mwendo kaumaliza
  4. B

    Sitaki kuamini kama kuna Makaburi ya halaiki

    Uyo atakua anajua why atetee
  5. B

    Mapendekeko: Namna sahihi ya kuwasherekhea mashujaa wote waliopeteza maisha Mo29

    Maneno hayoo yanaumiza aiseee Kweli vita ya majimaji mfano wake
  6. B

    Kama unatumia samsung hauko salama tena

    Wanacho kitaka kwangu hakipo
  7. B

    Siku ya Wanaume Duniani: Mungu awatunze sana na kuwapigania hasa katika vita zinazoishia za rohoni

    Wanaume wote wenye kusudi na mungu Asante kwa maisha yenu na mchango wenu🙏🏼🙏🏼
  8. B

    Rose Mayemba: ‘damu za waliouawa hazitafutika kwa maridhiano!’

    Auwaye kwa upanga atakufa kwa upanga
  9. B

    Hapo mlima Kitonga mbona kuna watu hawaeleweki aisee

    Kiasi kwamba watu wanatishika hata wakiwaona na bunduki zao😮‍💨
  10. B

    Hapo mlima Kitonga mbona kuna watu hawaeleweki aisee

    Mtaani kwetu sisi mda wote gari za jesh na FFU wanapita jinsi Gani inaonesha kua bado nchi Haina Amani
Back
Top Bottom