Wanaume wengi wanaumia na wanapata matatizo kwa sababu hawajikubali na kujiamini. Cha muhimu kupita yote ni thamani yako kwanza. Tuamke vijana.
Ahsante
Hiyo bei mimi nakufikishia kwako, namaanisha gharama zote ni juu yangu wewe unapokea mchele wako na kuanza kuuza au kuutumia utakavyo wewe mkuu.
Ahsante
Ahsante sana, kweli kuanzia mwishoni mwa mwezi wa tano mpaka sasa bado baadhi ya sehemu wanaendelea kuvuna mpunga hivyo mchele kwa sasa unapatikana kwa wingi sana ndio maana soko limekua gumu.
Bidhaa ya mchele inauzwa kulingana na ubora wake ndio maana utashangaa kuona mchele unauzwa mpaka 1600-1800 kwa sababu umekatika sana wakati wanakoboa na wakati mwingine unakua mchafu. Ukiona bei hizi ni kubwa sababu ni mzuri, umenyooka na ni msafi. Karibuni wadau wengine pia wanaojua zaidi na...
Biashara ya mchele. Biashara ya mchele ni nzuri sana ukipata soko, nawaombeni wakuu yeyote mwenye ushauri, mawazo na msaada wa soko la mchele, natoa mchele wilaya mpya ya Songwe pembezoni mwa ziwa Rukwa. Bidhaa hii ya mchele ni nzuri sana na umenyooka na unanukia vizuri.
Karibuni sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.