Ama kweli simulizi hii naifananisha na ya yule kipofu aliyebahatika kuona kwa muda ! hamad mbele yake kuna punda!!! Laiti kama ungebahatika kumuona George Masatu au Jella Mtagwa au Leodgar Tenga au hata Juma Shabani usingethubutu kuleta kichekesho chako humu!!!!.
Bro Tulimumu utashangaa sanaaaa!!!!! je umesahau kikombe cha "BABU" vipi kuhusu mihogo mibichi na karanga,vipi kuhusu etc etc!!! wengi wetu wamekuwa watu wa kufuata mkombo tuuuuu!!.Hivi sasa ni kumuunga mkono mtukufu ndio ina trend, chambilecho"Hili nalo litapita"
Tuache tamaa, mtu anaweka 500/-akitegemea ku win a million.Mkeka una mechi kumi na zaidi, out of 100 peoples waliobet ni mmoja au wawili tu wataobahatika. Bro Faokipe weka dau kubwa bet mechi chache za uhakika!.Changanya na basketball na tennis.Wadau wameng'ang'ania football pekee, hapo lazima...
Nina muda kiasi katika betting, na kutokana na uzoefu nimekuja ku conclude kuwa betting ime embrace vitu3.First of all betting ni HESABU, kisha betting ni SCIENCE na mwisho betting ni BAHATI.Ukifanyia kazi haya believe me, out of 10 bets you make una uhakika wa kupiga pesa bets 7-8.
What a tale!!! Hii ni zaidi ya historia, Mwanshinga Jr unastahili kongole kibao kwa kutuletea utafiti wako, assignment hii ningependa na wengine humu JF tuifanye.Maana historia ya makabila yetu inazidi kupotea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.