Kwanza siamini katika ulichokiandika. Huwezi kumtenganisha Magu na Uchafu unajaribu kutuaminisha kuwa umefanywa na Dr. Kampilimba... Wadanganye wasiojua mchezo huchezwao kwa sas. Wenye akili tunatambua kinachoendelea... Soma Kitabu cha "UJASUSI WA KIDOLA NA KIUCHIMI" na #yerickonyerere.
Nakubaliana na wewe mkuu. Kwa mjibu hoja yako, kwa kuwa ametumia mfano wa Daudi toka kwenye maandiko matakatifu ya Biblia, alitakiwa atambue au asome upya kitabu hicho.. kwani, Daud, alipopakwa mafuta tu, hakuanza kazi ya utumishi moja kwa moja. Aliingia katika kasiri la mfalme Saul na kuajiliwa...
Kwa mara ya kwanza Pacal Mayalla, nakupongeza kwa ushauri wako mzuri sana. Nimekuwa nakufuatilia kipindi cha nyuma, na nilikuwa mpenzi wa makala zako sana, lakini hivi karibu kwa takriban 2.5yrs, makala zako nyingi zimekuwa butu, zenye kulenga kufurahisha kundi fulani la watu na kuwatweza watu...
Dear, brethren, I would be denying myself the right to express myself if I won't congratulate you, for a such moving and inspiring article. Though it's short, but ful of wise words and teachings. Only the few, and indeed the few who will need to extract the teachings in it, will understand this...
Kaka Mkuu, nadhani siku hizi umechoka kufikiri kwa kina. Una uhakika kuwa wanajeshi hawafanyi siasa? Labda kama ni wa huko nje ya Tz aisee. Ushahidi wa kuona na kuteuliwa kushika nafasi za kisiasa na kutoa matamko ya kisiasa, upo wapi kabisa. Kisha unaleta porojo hapa.
Pumba tupu. Ungelijiuliza na wewe pia kuwa, kwa nini iliwachukua saa takriban 3 kufika katika eneo la tukio. Wakati ni umbali wa dakika kati ya 20-30 tu. Hata kama kivuko kingebinuka achilia mbali kupinduka, ni aibu kubwa sana kwa serikali ya wilaya na mkoa kuokoa mtu mmoja kati ya 41. Usiku ule...
Sijui Dkt. Mwigulu au vyo vyote vile uitwavyo, usitake kuaminisha watu wote kuwa huyo unayemtetea ni baba yetu. Labda ni baba yako wewe na wengine wachache muaminio katika nadharia hiyo. Yawezekana ukawa sawa katika suala la umri.. Kuwa ni sawa na baba.. Lakini kumbuka kuwa si kila baba ni baba...
Engine room, kiswahili chake ni nini? Inaonekana huna ufahamu juu ya boat au ferry. Mie niliyewahi kusafiri na kivuko hicho nakuhakikishia kuwa kuna vyumba. Na hutumika mara nyingi kwa ajili ya manahoa na watumishi kupumzikia. Na kwa taarifa yako, hata huko kwenye chumba cha engine, usifikiri...
Kwa kweli mkuu, sijui nikushukuru kwa njia gani ili utambue ni kwa jinsi gani umeipevusha akili yangu ndani ya muda mfupi kwa bandiko lako, na pia kutambua kumbe kuna watu si WANACHADEMA lakini wanaitakia mema na heri CHADEMA harakati hizi. Hakika ushauri wako kwa CHAMA CHA CDM, iwapo viongozi...
mbona habari hii ya siku nyingi mkuu. Siyo mpya na kama ni wanakakonko basi wanalitambua hili kuliko udhaniavyo. Kufungua tawi la CRDB pale CHATO haikuwa bure. Kila mtu anajua kuwa JIWE yuko katika harakati zake..
Mkuu, kwanza nikupatie pole kwa kujifanya kuwa Kiongozi wa malaika hajawahi kutamka hadharani kuwa "NIKUTEUE MIE, ALAFU UMUAPISHE MPINZANI". Kwa taarifa yako tena hili si lakujitungia, ni dhahili iliyowazi kuwa hata huwa hufuatilii habari za nchi ya Jiwe wako na matamshi yake. Rejea, siku ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.