Recent content by Bhart

  1. B

    Juma Duni Hajji: Wazanzibar tunahitaji serikali yenye madaraka kamili

    Wazanzibari wapige kura ili kujua maneno ya Duni na mwenzie Seif Sharif ndiyo matakwa ya Wazanzibari au hapana. Ikidhihirika Wazanzibari wanataka mamlaka kamili, basi waende zao. Tanganyika tunachotaka ni mwungano kamili, hakuna mwungano wa mkataba. Au tunakuwa na mwungano wa serikali tatu...
  2. B

    Prof. Muhongo, Maswi watajwa kuiua TANESCO

    Tunatakiwa kuwa more analytical and logical. Kwa ujumla ni kuwa TANESCO na serikali kwa ujumla wameshindwa kufanya kazi. Kinachotokea sasa siyo matokeo ya utendaji wa sasa wala siyo sababu ya Muhongo. Tatizo kubwa la sasa ni uwezo mdogo wa TANESCO kulipia gharama za umeme unaozalishwa na...
  3. B

    Utata kigogo UVCCM - akutwa amekufa hotelini Arusha

    Hii iliyopewa jina la San Abachafin ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume, maarufu kwa jina la viagra. dawa hizi zilitengenezwa maalum kwa wale wanaume ambao hawawezi kupata erection wakutanapo na mwanamke. Tatizo lililopo sasa kuna wanaume wengi, na wengine ni vijana wasio na matatizo kabisa...
  4. B

    Utata kigogo UVCCM - akutwa amekufa hotelini Arusha

    Siyo dakika 15, taarifa za uhakika ni kuwa aliingia mnamo saa 5 adhuhuri na akatoka saa 6 mchana, muda unakadiriwa kuwa ni dk 45 hadi saa 1 hivi. Anyway, kunaweza kusemwa mengi, na bahati mbaya sana kwa wale wasichana lakini kilicho dhahiri ni kuwa hawa wasichana ambao walikuwa ni wapenzi wa...
  5. B

    Profesa Mchombe: Tunatafuta suluhisho la Matokeo mabaya ya Mitihani ya Kidato cha nne si mchawi

    Huyu naye nadhani ni profesa wa sampuli za akina Maghembe. Huwezi kupata suluhisho bila kujua chanzo cha tatizo, na kwenye chanzo kunaweza kuwa ni uwezo mdogo wa wanaosimamia, wabuni sera, n.k. Kama tatizo ni uwezo mdogo wa waliopewa mamlaka basi suluhisho ni kuwapata wenye uwezo. Kama unataka...
  6. B

    Gharama za uchaguzi wa kenya zatisha

    TBC ni kama gazeti la Uhuru, huwezi kutumia kama chanzo cha habari. Watangazaji wake na wafanyakazi wake wengi walioko huko wapo kama hawapo.
  7. B

    Kikwete, ihurumie CCM na wahurumie Waislam walio wema

    Mtoi, perfect analysis and reasoning. Ningependa sana maoni haya yangemfikia Rais wetu na wasaidizi/watendaji wa serikali. Nakubaliana sana na wewe, pamoja na kuwa JK ni kiongozi dhaifu lakini sidhani kama amewazuia watendaji wengine kutumiza wajibu wao wa kudumisha umoja na kuzuia vitendo...
  8. B

    Walimu kupongezana kwa matokeo mabovu ya wanafunzi ni uzalendo?

    Kama inatuuma sana watoto wetu, wadogo zetu, ndugu na jamaa zetu kufeli, basi tuungane kumwondoa anayesababisha ambaye ni CCM na serikali yake. Walimu wana dhiki ya maisha, wana upungufu wa mafunzo, wana mazingira mabovu ya kazi, lakini kwa upande mwingine wazazi hawataki kuungana na walimu ili...
  9. B

    Hatimaye Serikali yakubali kuanza kujenga kiwanda cha gesi Mtwara

    Watanzania tusiwe watu wa ajabu. Kitu alichofanya mwekezaji ni zaidi ya anachohitajika kufanya. Mwenye wajibu wa kuwekeza kwa wananchi wake kutokana na rasilimali zinazopatikana katika eneo fulani ni serikali siyo mwekezaji. Mwekezaji wajibu wake mkubwa ni kuhakikisha anatimiza masharti kadiri...
  10. B

    Sumu ya sera ya majimbo ya Dr. Slaa na Mbowe kuwaua wabunge wa CHADEMA

    Mod, any way to take away this ru.bbish?
  11. B

    TANESCO, Mgao wa Umeme waanza kinyemela?

    Ninachomshangaa professor Muhongo ni kusema hakuna mgao wa umeme na kuwa kinachoendelea ni matengenezo ya miundombinu. Hivi ni nini maana ya mgao wa umeme? Unapofanya matengenezo ya mara kwa mara na kuamua kuwa ninapofanya matengenezo ya eneo hili leo, eneo hili nitawazimia umeme, na eneo hili...
  12. B

    Ninakwenda mafunzo ya JKT...

    Wiki 3! Katika wiki tatu mnaenda kufanya nini, kuonesha sura au kupata mafunzo. JKT ililenga kuwafunza vijana ukakamavu, mafunzo ya vita ikiwa ni pamoja na mbinu za medani, uzalendo na ujenzi wa Taifa hasa kwa kupitia miradi ya kilimo. Wiki 3 hazitoshi hata kupunguza vitambi kama vya akina Nape...
Back
Top Bottom