Recent content by bhaaa

  1. B

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Bata: Aina za bata, ujuzi, gharama, changamoto, faida na masoko

    Bata wangu anaharisha maji na miguu kukosa nguvu kiasi kwamba hawezi kutembea. Naombeni ushauri
  2. B

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Ng'ombe bora wa maziwa wanapatikana

    Mimi nahitaji kupata bei. Lakini, siko tayari kukupigia simu. elelza hapahapa weka mambo wazi hazarani
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ng'ombe wa maziwa anasumbuliwa na reccurent mastitis. Msaada tafadhali

    Hongera kwa kuwa na mifugo yenye utoaji mzuri wa maziwa. Mimi napata lita 4 - 5 kwa Ngombe kwa siku. Kama hautajali, Ngombe wako uliwachukuwa wapi ili nami nikatafute hapo na kuimarisha ujasiriamali wangu. Napatikana Dsm
  4. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta chimbo la chupi na kadeti

    Naomba chimbo la nguo mpya za watoto mwaka 1 -4
  5. B

    JamiiForums Tanzania Haya ndio machimbo ya bidhaa Kariakoo

    Naomba chimbo la nguo mpya za watoto (pensi, suruali,gauni nk) kuanzia mwaka 1 - 4.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Jinsi unavyoweza kuagiza mabelo ya mtumba kutoka China na Dubai kwa bei chee na kupata faida mara 2 au 3 zaidi

    Ninawezaje kuagiza Mabelo toka CANADA, UK na USA
  7. B

    JamiiForums Tanzania Kuagiza mabelo ya mitumba toka UK, Canada na USA

    Mkuu, vipi ulifanikiwa kumpata?
  8. B

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Naomba Connection ya kuagiza viatu vya mtumba vya watoto. viwe ni viatu vikali vya ngozi. China naona viatu vyao siyo vizuri
  9. B

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Wakuu, ninahitaji mitumba kutoka DUBAI au uingerez ninaweze' kumpata
  10. B

    JamiiForums Tanzania Jinsi unavyoweza kuagiza mabelo ya mtumba kutoka China na Dubai kwa bei chee na kupata faida mara 2 au 3 zaidi

    Mwenye uzoefu wa kuagiza mtumba toka Dubai au Canada, naomba atushirikishe uzoefu wake
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

    mambo gani nayakosea?, muda wote uwa nawashirikisha watalaam ambao ni madaktari wa mifugo
  12. B

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

    Nadhani hujanielewa. Ninamaanisha kuwa nilitumia AI kwa awamu 3 bila mafanikio.
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kuagiza mabelo ya mitumba toka UK, Canada na USA

    Shukrani Mkuu.
  14. B

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu kilimo cha machungwa

    kumbe una biashara hii. ndio maana ulikuwa unatoa taarifa za uongo kuhusu idadi ya machungwa ktk mti
  15. B

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu kilimo cha machungwa

    kweli kabisa, katika post hapo chini anapromote miche. Bongo kufanya biashara mpaka mtu adanganye
Back
Top Bottom