Hongera kwa kuwa na mifugo yenye utoaji mzuri wa maziwa. Mimi napata lita 4 - 5 kwa Ngombe kwa siku. Kama hautajali, Ngombe wako uliwachukuwa wapi ili nami nikatafute hapo na kuimarisha ujasiriamali wangu. Napatikana Dsm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.