Pole sana bro, kwa watu wanaojielewa na tuliohussle na kujua ugumu wa maisha hatuwezi kuwafanyia wanaume kitu kama hiko. Maisha ni kusaidiana huyo aliekuja kukudhihaki naweza sema ulimbukeni ulimjaa. kwa maisha ya sasa yalivo magumu huwezi kumuachia mwanaume alipe bills zote na kutunza familia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.