Kaongea ukweli, uzuri sisi wafanyakazi tunaona pesa inakoenda, tuliambiwa tufunge mikanda hivyo tunaelewa, zingekuwa zinakusanywa na wanafanya ya hovyo kingeshanuka, nchi ni yetu sote, hizo pesa TL anazotuahidi kutupa atazitoa wapi wakati hapohapo anaahidi kufuta kodi?
Haya mambo mods hutoona wakiyazuia, lakini uzi ulioanzishwa humu kumuhusu kigogo kusalenda na kumbloku MTU kule twita umebanwa, watu wakilalamika jamii forum inatumiaka hawataki imini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Moderator mjifunze, sio kila siku mnaacha mtu anatukanwa na kudhihakiwa sababu ni mtu wenu mkidhani upande wa pili hawawezi kudhalilisha pia, mngefuta ule udhalilishaji wa awali kwa RC sidhani kama leo hali ingechafuka, hongereni kwa hatua mlizochukua angalau yatia moyo.
Hahaha...CCM ni moja, kama wajidanganya wewe ni special sana kuliko mamilioni walokuwa vijijini wajidanganya, utatekwa, utafinywa, utafanyiwa chochote ambacho wala hakiendani na hujuma yako kwa Taifa, kikundi cha watu hamsini wenye multiple accounts mitandaoni kuaminisha watu mambo hayako sawa...
Hahaha...CCM ni moja, kama wajidanganya wewe ni special sana kuliko mamilioni walokuwa vijijini wajidanganya, utatekwa, utafinywa, utafanyiwa chochote ambacho wala hakiendani na hujuma yako kwa Taifa, kikundi cha watu hamsini wenye multiple accounts mitandaoni kuaminisha watu mambo hayako sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.