Hahaha...CCM ni moja, kama wajidanganya wewe ni special sana kuliko mamilioni walokuwa vijijini wajidanganya, utatekwa, utafinywa, utafanyiwa chochote ambacho wala hakiendani na hujuma yako kwa Taifa, kikundi cha watu hamsini wenye multiple accounts mitandaoni kuaminisha watu mambo hayako sawa mkitegemea JPM atababaika mwajidanganya, alishaonya yeye hajaribiwi, wote watakipata walichokuwa wakikitafuta, hata wawe elfu moja, nchi hii iko na 55 M people, and we, the majority we are with him, kumtukana mkuu wa nchi nje ya mipaka ya nchi ni kulitukana Taifa, huyo alipashwa anyongwe.