Ikifika 2020 zaidi ya asilimia 80 ya watanzania watakua wapinzani ila hakutakua na jukwaa la kiuwakilisha wapinzani. Jukwaa kama vile vyama vyenye muonekano wa kipinzani. Ila hapata pita mda mrefu kitazaliwa Chama cha watu, kitakachokua na nguvu kuliko chama chochote kilichowahi kutokea...
Unaposema dini ya Ibrahim unazungumzia uislam na ukristo na wayahudi(abrahamic religion) na sio wayahudi peke yake. Wote watatu wana historia na mji huo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.