Recent content by bestcomment

  1. B

    Nani aliyemdanganya Msanii Ben Pol kuwa Yeye ni King of R&B kwa Tanzania?

    Jinga jinga Tanzanian mabingwa wa kukalili
  2. B

    Ndinga mpya ya Mbwana Samatta

    Diamond analo zaidi ya Hilo ila hapendi show off tu
  3. B

    Tanzania ni mahala salama sana pa kuishi

    NI kweli Tanzania ni mahali salama kwa kuishi ila sio kufanya siasa
  4. B

    Je, ifikapo 2020 upinzani utakuwa?

    Ikifika 2020 zaidi ya asilimia 80 ya watanzania watakua wapinzani ila hakutakua na jukwaa la kiuwakilisha wapinzani. Jukwaa kama vile vyama vyenye muonekano wa kipinzani. Ila hapata pita mda mrefu kitazaliwa Chama cha watu, kitakachokua na nguvu kuliko chama chochote kilichowahi kutokea...
  5. B

    Askofu Bagonza aivaa Serikali, asema tulipokubali kuingia mfumo wa vyama vingi tulikubali kupingana kwa hoja

    Sheikh wa daresalaam atakuja kusema siasa na dini haviendani,
  6. B

    Je, kwanini Jerusalem kuna vurugu kuliko Makka?

    Unaposema dini ya Ibrahim unazungumzia uislam na ukristo na wayahudi(abrahamic religion) na sio wayahudi peke yake. Wote watatu wana historia na mji huo.
Back
Top Bottom