Naomba nikulize kama kweli wew ni mzalendo .... ivi umesha wahi japo kusikiliza report za CAG? ....... japo kwa awamu moja tu kwenye hizi serikali z CCM tusiende mbali tuanzie kwa JK, JPM, SSH , alafu uje hapa uniambie nikisema serikali inafuga wezi uta kataaa?
[emoji736]️Kwanza huyu mama hana Dira ....
[emoji736]️Hana sera .....
[emoji736]️Hajui kutoa hotuba .....
[emoji736]️Hajui matatizo ya wannchi kabisa ....
[emoji736]️Ana fuga wezi, chawa, na wapigaji
[emoji736]️Hana sifa yeyote ya kuwa Rais wa nchi .....
Kwa kifupi hapa tume pigwa
Una kichwa kikubwa lakini akili kama mbegu ya haradali ...... Tanzania ina watu 60m CCM ni genge la wezi wanao pokezana kuihujumu nchi yetu ..... nikuhakikishie tu kuna watu wwnye upeo mkubwa kuliko wana CCM ...Time will tell
Nimesoma andiko vzri kwanza nimeumia lakini pia nimesikitika sana [emoji22]...... kumnyima mtu hakiyake ya msingi ni kitu kibaya sana .....naamini kupitia uzi huu wahusika wataona na hakizenu zitapatikana ...... pia nikupongeze kwa mwandiko mzuri uliyo pangika [emoji120]
Kuna mtu anafanya kazi kwenye ofisi ya AC ndani ....akitoka anaingia kwenye gari pia kua AC , anarudi nyumbani nako amefunga AC .... huu uzi wako sidhani kama atauelewa
Content za namna hii kuna watu utawakosa ...... kuna watu wana waza mlo wa siku itakuwaje ..... ukianza kuwaletea habari za utajiri hawatokuelewa kiurahisi .... kama unataka kudeal na content hizi jikite kwenye solution ...... wambie nini wafanye ili watoke point A kwenda B
Unahakika kilimo ni kazi rahisi? .......
Una hakika kijana aliye toka chuoni fresh akienda shamba ata toboa ? ....
Una uhakika kwa kilimo cha sasa kwa ekari moja ata oata gunia 20-30 ? Pasipo kuzungumzia swala la mbolea na viwatilifu vingine ........
Una uhakika soko la mpunga ni rahisi kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.