Recent content by Best1

  1. B

    Tunawabeza waislamu lakini kiukweli wapo sahihi

    Huo ukweli uliouandika niko naushudia hapa. Tupo honeymoon na wife, ghafla kaingia p, sasa nimekuwa mdogo kama piritoni. Natamani nichepuke, ila nashindwa kumtoroka na hamu yenyewe ndio inazidi kuongezeka.
  2. B

    Hivi Reginald Mengi haishiwagi pesa?

    Mtoa mada una roho ya kichawi. Unawezaje kumwazia mwenzako kuwa anaweza kufilisika? Think positives for him. Mungu anasema atoaye kwa yatima na wahitaji, atajaza maghara yao. Mengi anatoa kwa yatima na wahitaji haweza kufilisika.
  3. B

    Tuache utani, wanawake waomba hela wameongezeka sana awamu hii

    Akiomba hela ukapotezea baada ya nusu saa anafuta msg. Hahahaaa....wanazidi sana Kuna mwanamke mmoja aliniambia anapata kama Tshs 100,000 kwa wiki. Anaomba Tshs 5,000 tu kutoka kwa wanaume wanaomtongoza. Wakiwa 10 basi anapata 50,000/- after two days anaomba tena hapo anaweza kupata zaidi ya...
  4. B

    Asante JF; nimepata mke wa pili

    Hongera sana.
  5. B

    Moyo ukiwa kazini Jua akili ipo Likizo

    Mada yako nzuri. Nahisi hapa akili yangu imeanza kwenda likizo juu yako....[emoji2] [emoji2] [emoji2]
  6. B

    WANAUME KUBALINI MATOKEO TU

    Siyo lazima hiyo kanuni iapply kwa mapenzi
  7. B

    Nilimdanganya sana ili nipate tu 'mzigo', sasa nimezama kweli

    Hahahaaa....nimecheka mpaka nimetoa machozi. Aisee huu uongo wa kiwango cha juu.
  8. B

    Ni muhimu sana kumuhudumia mume wako wewe mwenyewe na sio kumuachia mtu mwingine

    Mwenyewe natamani asome hapa. Watoto wametufanya tuwe watumwa japo kuna wanaume wengine wameshindwa kujizuia.
  9. B

    SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

    Mtusamehe tu, kuacha kuchepuka ngumu sana
  10. B

    SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

    Rafiki yangu ana mke alisafiri kikazi. Akakutana na mchepuko wake huko. Wakawa wanaishi chumba kimoja, hotel moja. Mkutano ulikuwa mrefu, siku 15. Baada ya siku 4 alinitumia SMS kuwa amemtoroka mchepuko wake hotelini amekwenda kulala kwa hawala mwingine, hotel jirani na hiyo. Huko alimaliza siku...
  11. B

    SINGLE MOTHER ANAYEFAA KUOLEWA.

    Wanafaa sana hao
  12. B

    Miezi 9 bila sex na mke wangu: nifanyeje?

    Ahsanteni kwa ushauri wenu. Kuna mambo mengi sijayaeleza hapa. Kuhusu kwenda hoapitali, tumefika mpaka hospital ya Rufaa Bugando, Mwanza. Hakuna kitu.
Back
Top Bottom