Huo ukweli uliouandika niko naushudia hapa. Tupo honeymoon na wife, ghafla kaingia p, sasa nimekuwa mdogo kama piritoni. Natamani nichepuke, ila nashindwa kumtoroka na hamu yenyewe ndio inazidi kuongezeka.
Mtoa mada una roho ya kichawi. Unawezaje kumwazia mwenzako kuwa anaweza kufilisika? Think positives for him. Mungu anasema atoaye kwa yatima na wahitaji, atajaza maghara yao. Mengi anatoa kwa yatima na wahitaji haweza kufilisika.
Akiomba hela ukapotezea baada ya nusu saa anafuta msg. Hahahaaa....wanazidi sana
Kuna mwanamke mmoja aliniambia anapata kama Tshs 100,000 kwa wiki. Anaomba Tshs 5,000 tu kutoka kwa wanaume wanaomtongoza. Wakiwa 10 basi anapata 50,000/- after two days anaomba tena hapo anaweza kupata zaidi ya...
Rafiki yangu ana mke alisafiri kikazi. Akakutana na mchepuko wake huko. Wakawa wanaishi chumba kimoja, hotel moja. Mkutano ulikuwa mrefu, siku 15. Baada ya siku 4 alinitumia SMS kuwa amemtoroka mchepuko wake hotelini amekwenda kulala kwa hawala mwingine, hotel jirani na hiyo. Huko alimaliza siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.