mimi sipo chama chochote ila kitendo cha wafanyabiashara wengi kusema "mzee amebana sana vitu vinapatikana kwa bei ya ghali" ni dhahiri kwamba wahujumu uchumi wa nchi wataisapoti sana CHADEMA ili waweze kufanya biashara na kupata mizigo kijanjajanja.
CHADEMA kwa wafanya biashara wasiopenda...
tatizo hawaombi elf 2 kwa mwanaume mmoja, anaweza kuwaomba kma wanaume 10, mwisho wa siku wote wakituma mwanamke anakua kaingiza elf 20 bila hata kutoa jasho.
huo ni utapeli kama mtoa mada anavyosema.. namuunga mkono
Mi nachekaga sana mtu anaposema ndoa si mchezo halafu unakuta yeye hajaoa ila ameshaachana na wanawake zaidi ya 20 mpaka sasa.
Kama kwenye uchumba kungekua hamna changamoto basi hapo kidogo ungestahili kusema ndoa si mchezo..ila we kila kukicha unaachana na wanawake halafu unasema ndoa si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.