Umati cyo sababu ya kutoa jibu kuwa ni ushindi amuulize lyatonga mlema aljaza watu but alipata kura ngap kwahyo Kuwa na watu wengi hakumaanish ushindi alikuwa na mbwembwe hivyohivyo kipindi anatia nia ccm yako wap na hata sasa amalize hela zake asitegemee kuapishwa octoba kama wanavompamba...
Hawana jipya hao wa ukawa wana yazamani tuu kwani hawana wagombea wengine zaidi ya lipumba na silaa wa miaka nenda rudi na safari hii wataisoma namba watakapo sombwa na tingatinga
Mtajua mmefanya maanuzi magumu ya kupitisha ukawa waongoze nchi kumbe bila kujua kama mmeruka majivu na mmekanyaga moto ila mungu anajua ni chama Gan kisichopenda vurugu ili kiongoze Tanzania yetu yenye amani tele
Sugu hafai hata kwa mchuzi chupuchupu na mbeya wakimchagua tena fatakuwa wamempeleka mbondia bungeni na cyo mbunge yy na fujo tu ndio maana alitolewa bungeni juujuu ka katoto
Hakuna dr. Slaa wala nani kwanza mtu mwenyewe hana hata mbele wala nyuma hadhi ya urais hana!!!!!! Yupoyupo tu hayo yote ni maneno matamu anayoongea ili wananchi wamuamin wajue ni mtu mwema kumbe hana lolote ni kampain tu ataishia kunawa tu nakula kwa macho labda ahame chama
na mwaka ujao mtakoma no kuongoza nchi wala nini mabahili wakubwa kaz uroho wa madaraka tu na bado vyombo vya dora vimewapania vitawasurubu kama enzi za utumwa nyie mjaribu kuandamana muone
Mtaendelea kupiga kelele kinana safi nape safi kama vip endeleeni kuwacfia viongoz wenu wanaotaka uongoz kwa nguvu na wataishia kuongoza familia zao na cyo tanzania yetu yenye amani
Tangu lini mbunge akawa msela???? Mdeee anajifanya msela wa kike sasa kakutana na makamanda ambao hawajui kulemba katembezewa virungu vya mgongoni huku akipanda kwenye difender chezea vyombo vya dora wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.