heheheheee. nikupe somo la buree. kurudia rudia maneno ktk uandishi ni namna ya kutoa msisitizo ukiwa umelenga ujumbe wako ufike ipasavyo. tayari hiyo ni dalili unajali nifikiriavyo na nisemalo juu yako. umechemka. ile post ya pili tu usingejibu ndiyo ingeenda na msimamo wako wa kutojali...
Hakuna cha raining men wala nini. haiwezekani kunyesha mume. mume ni yule aliye kuoa. mada zako zimekuweka kwenye kundi la kicheche aliyeweka pesa mbele. huna heshima. unadharau waliyopo kwenye ndoa na kujiona ni machinoo wa mujini. na dharau tele kwa wale wameolewa. hapa unajisafisha tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.