Ndyo maana nimekwambia Sijaweka kwa Urefu...ikiwa hauamini kwa kifupi utaamini kwa kirefu?Na aliyekwambia walimu hawafanyi utumishi Nani? Kuna admission officer... Tutorial assistant... Lecturers.. Hall warden... Examination officers and coordinator....wacha kukariri
Unajua nilikuwa nimesahau kwamba ulinijibu kwanza uko chuo!!!Unajua mtu akiwa chuo anaona kila kitu rahisi.Haswaa ukipanda ngazi na kushuka hapo chuoni...Kopo la maji mkononi halikukauki kama upo hapo UDSM... Na Kama uko Hall Six.. Zile lift zaweza kusahaulisha hata ulipotoka yaani..Ukikaa pale...
Huyo graduate atakayehadaika na bandiko langu bila kuchekecha akili zake Na kupima uthubutu wake atakuwa kagradute makaratasi!! Hivi graduate ahadaike na maneno yangu? Be optimistic!
Unajua nini as Man thinkenth so he is!! Hayo yalikuropoka ndivyo ulivyo!!! Hizo degree nimezidharirisha wapi!! Lini mtaacha kufikiri ukifanya kazi flani unajidharirisha!? Kwa hiyo nikakaaa bila kazi yeyote huku najiproud nina degree sidhaririki!! That's dogma my friend!!!
Kama haumini I have...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.