Nadhani mambo yake yanaenda kuwa mazuri sasa.
Ahsante Mkuu. Mimi nipo Dar
Umeshapata? Kwa maana kuna ndugu yangu anahitaji hiyo kaziNiko Geita natafuta msichana wa kazi za ndani nina mke na mtoto mmoja awe anaweza kukaa na mtoto maana mimi na mke wangu wote tunatoka nyumbani saa moja asubuhi tunarudi saa kumi jioni malipo tutaelewana...