Recent content by bernabella

  1. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

    Shule za mitahara ya kiingereza kama Cambridge, zipo kwenye miji mikubwa kama beira na maputo Ada yake ni ndefu,wanasoma watoto wa mabarozi
  2. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

    Portuguese Au portigo
  3. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

    Beira kiswahili sio kivile,Kule wabongo hawakujichanga
  4. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

    Unaongea lugha ambayo haina Masada wowote. Mfano watoto tunaozalia huku inabidi tuwaludishe kwenda kusoma Tanzania na ni rahisi kuja kufanya kazi huku. Lakini aliyesoma huku hana ujanja wa kwenda kufanya kazi popote pale zaidi ya Mozambique na inchi zinazoonge kireno
  5. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

    Inategemeana na Mozambique ya wapi,hii ya kaskazini tumewalisha kiswahili yote maana imekuwa kama sehemu ya Tanzania,huwezi kushindwa kukutana na watu watatu ingalau mmoja anajua kiswahili
  6. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

    Com sta haiunganishwi halafu sto bem au boa tarde au bomndia boa noite
  7. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

    Hakuna lugha ngumu kama kireno,yaani Ukifika huku kitu cha kwanza wenyeji wako watajua kiswahili unachoongea ndani ya Mwezi lakini wewe itakuchukua zaidi ya miaka 10 kujua kireno K
  8. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujifunza Lugha ya ‘Portugese’ au Kireno

    Haina dili lugha yenyewe labda uwe umepata mchongo bondia meu amigo,edvir ti isnar preparar so dinhero
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

    Hivi wewe Yohana mbona huwa hueleweki
  10. B

    JamiiForums Tanzania Iringa (Picha inatisha): Kijana ashambuliwa na watu anaodai kuwa ni Polisi

    Ngoja ipo siku yakukute wewe au familia yako ndiyo utapata akili
  11. B

    JamiiForums Tanzania Maisha yanaenda kasi sana, Lugola huko alipo sijui anajisikiaje

    Nimecheka sana
  12. B

    JamiiForums Tanzania Iringa (Picha inatisha): Kijana ashambuliwa na watu anaodai kuwa ni Polisi

    Hili suala la Askari wa jeshi la polisi kugeuka majambazi liangaliwe kwa upana zaidi hakuna anayekemea,wamekuwa wakipiga,kutesa,na kuuwa wanaangaliwa tu.Mwamba huyo Askari tunamjua mpaka kwake mke wake na watoto zake wanajulikana akae mkao wa kula zamu yake inakuja hawajui wanyarukolo huyu
  13. B

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje kutengeneza laki mbili kwa siku?

    Mbona simple sana inategemeana na mtaji uliyowekeza na aina ya biashara unayofanya. Mfano ukifungua saloon ya kisasa yenye mtaji wa milion 15 mpaka 20 hiyo pesa unaipata
  14. B

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mattaka: BAKWATA ndio wengi kesho misikiti zaidi ya 300 Dar itatumika kwa ajili ya swala ya Idd

    Naona umeshindwa kunijibu,pole sana ndugu yangu,hii yote sababu umekaririshwa dini hujaingia kwa kutumia akili yako. Yesu kama Mtume wa Mwenyezi Mungu alipokuja duniani hakuwai kusema Dini yake ni Ukristo na hata alipopaa Wanafunzi wake hawakuwahi kuhubiri Ukristo,Dini ya Ukristo ilianzishwa...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mattaka: BAKWATA ndio wengi kesho misikiti zaidi ya 300 Dar itatumika kwa ajili ya swala ya Idd

    Kama utanijibu swali langu kweli mimi nitaitwa mjinga na wewe utakuwa mwerevu,Ukishindwa mimi nitakujibu ndipo itakapojulikana mimi na wewe nani mjinga
Back
Top Bottom