Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Kweli cheo ni dhamana tu.
Maisha ya kutegemea kuteuliwa bila kuwa na utaalamu mwingine wowote mkuu, kuna kada zingine za utumishi wa umma unatulia zako kimya hadi unastaafu no usumbufu wowote.Tena maisha ya kuwa mtumishi wa umma ndio yanaenda kasi mara mbili zaidi ya maisha ya kawaida.
Duh mpaka naona aibuKweli cheo ni dhamana tuu.View attachment 1786521
MALIPO YA UBAYA ni hapa hapa DUNIANIKweli cheo ni dhamana tuu.View attachment 1786521
Noma Sana ataanza naloHalafu kangi lugola bado ana file halijafungwa Takukuru!🤣🤣
Sasa wewe jiandae liwa Tackle...mamaee.Kweli cheo ni dhamana tuu.View attachment 1786521
Kampigia simu Jana asubuhi ya kuomba po!Kweli cheo ni dhamana tuu.View attachment 1786521
... CP Hamduni amepata pa kuanzia! Ha ha ha!Halafu kangi lugola bado ana file halijafungwa Takukuru!🤣🤣
Bora hao watake radhi.Jamaa alikuwa anafanya Mambo Kama zuzu Lengo Kiki na kumtukuza mwendazake.Alitumia lugha za dharau na kipuuzi utadhani muuza kashata wa Ubungo