Mkuu jifunze kuhusu Karat na Carat, ni terms mbili tofauti.Carat inatumika ku-quantify hasa kwenye gemstone, 1Carat=0.2gram, ila Karat inatumika kwenye quality/purity ya gold, max ni 24k ambayo ndo 100%, pia kuna 22k,18k...
Mkuu Conversation rate ya Kilo to gram ni constat haijalishi ni bidhaa gani..Ila kwenye Dhahabu kinachoongezeka ni term inayoitwa Karat ambayo ni measure ya purity ya gold.
Kimahesabu kupata thamani halisi ya kilo moja ya dhahabu lazima uzidishe na purity pia na bei ya dhahabu kwa uzito husika.
Geo una mikwara Sana aisee..!eka facts hapa watu wajue kipi Cha kuchukua, sio mboyoyo nyingi vitisho kibao, oh oh experience xpirience we ulizaliwa nayo!??! mboyoyo nyingi Kama wana wa Bsc with Geology aisee
Imetumika kwa Miezi miwili.
Ina hali nzuri Sana.
Display 5.5"
Fingerprint sensor
Hybrid Dual SIM
Supports 4G
Original charger ipo.
Bei ni..330,000/-Tsh
CONTACTS:0756504029/0714145262
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.