Sio kila mtu anaweza kuwa tajiri na sijajua hapo umeegemea katik angle ipi
Kma ni wa mali una siri zake na kila mmoja ana njia yake ya kupata.
Tafuta hela kwa jasho lako zingatia misingi ya fedha na ufanyaji kazi wake utapata mali.
Lakini sikushauri kupata mali kwa maagano ni mbaya kuliko ubaya...
Davy kisamba,Lusato wote walikuwa washkaji zangu
Lusato classmate wangu K/nyonge Davy homeboy wangu sana sema naskia sa hv ni mtu wa Tungi Magita tena wanaliita Bojo.
Tumeshindana sana kuvaa HandBand(Rebon)
Yote sa hv ni story 😢 😅 😆
Hata Majani mwenyewe alishafariki.
West. LAWAMA Ni moja kati ya Gangs Zilizokuwa zinanipa heshima kubwa sana USwazi,hakukua hata na mmoja wa kunigusa sababu wote walikuwa ni watu tuliokuwa tunafahamiana.
Jamaica Mockers 🇯🇲 waliwahi kumTight mshikaji wangu mmoja Elly Mapaka (r.i.p)
Tena Bonny...
Huyo kama kaanza kuvimba sa hv ni pepo na inatakiwa ulikemee mapema.
Wenzie wanayafanyaga uzeeni (mume ukianza kuishiwa nguvu) baba upweke unakunyemelea,mkwanja umekata/unapata hela ya kula tu,kwenye 🛌 hau+perform kma zamani,
Ni ngumu watu kukuelewa.
Hii ni sawa na nyingine nyingi zilizopita kama akina Ezzy E,MJ,R.Kelly,Dmx...
Ni muongo mwingine ktk rap,kumbuka imetimiza miaka 50 tangu hapo.
Diddy hachomoki kwenye hili
Dawa Yao ni kuwa mpuuzi tu, utamuumiza sana nishawahi ishi na mtu wa hivyo
Wengi wao hawanaga exposure na ni empty minded.
Ni watu flani hv wazembe wazembe, yaani hawezi fanya jambo lake bila kuskumwa na akianzisha jambo halimalizi ni lazma aishie njiani.
We kuwa mpuuzi tu puuzia maneno...
@havanna sio kuzinguana rejea post yangu
Nahreel alitangaza bei ya session kama alivyofanya zombie
Weusi studio time Kwa beat makers wadogo Huwa hawalipi,
Wao wanasema wanampa mileage producer Ngoma ikitoka na kuwa Kali,
Session waliosema walipia ilikuwa ni B hitz wakati marehem Pancho yupo...
Kosa la kwanza na la kujirudia ni [emoji3516][emoji3516][emoji3516]
Achana nao
Fanya kazi wasikutishe na wingi wao, ishi nao Kwa akili halafu hapo ni kazini sio Sehem ya kuwania Award ya kufurahisha watu.
Unalea sana ujinga we mzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.