Recent content by Benny Haraba

  1. B

    Kombe la Dunia, Afrika imepewa nafasi 9

    Nilivyo waona jana naweka alama ya ?
  2. B

    Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Mtandao wa kujitwalia madaraka bila haki
  3. B

    Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Mtandao kwaajili ya kuibagaza na kuibananga nchi Mtandao wao siyo wa kushinda uchaguzi kwa nia njema ya kuwatumikia wananchi bali kwaajili yao wenyewe na familia zao
  4. B

    Nini kimelikumba Jeshi letu? Imekuwaje linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM?

    Wanajeshi wanaenda kufagia barabarani ili kuitisha Chadema kweli eti na wao wanakubali Sawa ni amri tena ya asubuhi lakini inategemea ni amri ya kutekeleza kitu gani wanajeshi gani mnashindwa 'kujongo'
  5. B

    Kumbukizi: Wazanzibar walivyoandamana kudai Muungano uvunjwe

    Duu nilisha waambia muungano ulipatikana kinajimu
  6. B

    DR Congo yathibitisha Mlipuko Mpya wa Ebola Kusini mwa Mji wa Kasai, idadi ya Vifo ni 15 hadi sasa

    Je wewe mwenye akili kuliko mimi ulijua kwamba tuna cheza na Congo brazzaville?
  7. B

    Hata ashushwe Malaika kuja kuwaongoza Watanzania Bado Watapiga Makelele na kutaka awafanyiage miujiza ya kuwawekea Mabomba ya asali na Maziwa Midomoni

    Lakini hakuna haki Silence surrenders public responsibilities Kunyamaza siyo amani bali ni kusalimu amri kwa majukumu ya kijamii ama kitaifa
  8. B

    Ni sahihi Yanga kuichangia CCM Kwa sababu zifuatazo

    Timu ya mpira pamoja na wachezaji ruksa kujihusisha na maswali ya kijamii Hata chama cha siasa kinaruhusiwa kumiliki
  9. B

    Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Tunaishi kwenye jamii ya kanyanga twende jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe jamii ambayo wengi wao hawawezi kuchakata fikra chanya na hasi Jamii inayo ongozwa kwa mfumo wa unyumbu wa kisiasa ambao ni mfumo unao wezesha wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa...
  10. B

    Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    Kuhusu kuhoji Tuliandaliwa kuto kuhoji tatizo la kuto kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu ukihoji kwenye ngazi ya familia utaambiwa kama umekua uondoke tabia hii ya kukataa kuhojiwa kwasasa imebebwa kwenye ngazi zote za maisha iwe mashuleni, kanisani, vyuoni kwenye vyama vya...
  11. B

    Ushauri Kwa Rais Samia, vyama vilivyoshiriki Uchaguzi ndo viingie kwenye maridhiano baada ya uchaguzi

    Hakuna maridhiano baada ya kupigwa na nyundo kichwani au na kitu chenye incha Kali
Back
Top Bottom