Mtandao kwaajili ya kuibagaza na kuibananga nchi
Mtandao wao siyo wa kushinda uchaguzi kwa nia njema ya kuwatumikia wananchi bali kwaajili yao wenyewe na familia zao
Wanajeshi wanaenda kufagia barabarani ili kuitisha Chadema kweli eti na wao wanakubali
Sawa ni amri tena ya asubuhi lakini inategemea ni amri ya kutekeleza kitu gani
wanajeshi gani mnashindwa 'kujongo'
Tunaishi kwenye jamii ya kanyanga twende jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe jamii ambayo wengi wao hawawezi kuchakata fikra chanya na hasi
Jamii inayo ongozwa kwa mfumo wa unyumbu wa kisiasa ambao ni mfumo unao wezesha wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa...
Kuhusu kuhoji
Tuliandaliwa kuto kuhoji tatizo la kuto kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu ukihoji kwenye ngazi ya familia utaambiwa kama umekua uondoke tabia hii ya kukataa kuhojiwa kwasasa imebebwa kwenye ngazi zote za maisha iwe mashuleni, kanisani, vyuoni kwenye vyama vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.