Recent content by Benny Haraba

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kuna wanaume nikiwaangalia kwa muonekano wao, najiuliza hivi huyu atapata mpenzi kweli?

    Swali hivi mapenzi ni kitu gani, ukijibu hili nitakuja na swali la msingi
  2. B

    JamiiForums Tanzania Heko mkoloni kwa kutomuona Mwanaharakati Mwl. Nyerere ni gaidi

    Hizi new regime nyingi zinatawala kifamilia (watu wa familia Moja) wamegundua kukataa mabadiliko ya katiba, inapo karibia uchaguzi mkuu kauli mbiu inakuwa ni katiba mpya kwenye ulimbo wa ndoano Wakimaliza kichaguana wanaahirisha kufikiri Kwa nafsi zao (wanajizima data)
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ikiwa baadhi ya vyama vya siasa hufurahia wenye maoni tofauti na yao wanapofikwa na misiba/umauti, hivi kuzomea inaweza kua jambo la kushangaza kweli?

    Sababu ni: athari za unyumbu wa usuli; unyumbu wa kisiasa; unyumbu wa wabobezi Human herding vs unyumbu Human herding is an occurrence of thoughtful people suspending their individual reasoning because of group objective and their personal gain Human herding in politics is an occurrence of...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kuhusu ubaguzi Afrika ya Kusini dhidi ya waafrika: Ndhani serikali ya Afrika ya kusini wanatoa machozi ya mamba!

    South Africa ubaguzi wa rangi hauwezi kwisha tayari walisha tengeneza matabaka kwenye sehumu za makazi
  5. B

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo: Tanzania haitakubali kupangiwa marafiki wala maadui

    Wanacho jua ni utakeja na kupoteza watu nakuwa niniliu
  6. B

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo: Tanzania haitakubali kupangiwa marafiki wala maadui

    Washirika wa biashara sawa swali je sisi tunashindwa nini kufanya biashara hadi tutafute washirika
  7. B

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo: Tanzania haitakubali kupangiwa marafiki wala maadui

    Kuna siku nilikuwa nafuatiali maongezi ya baadhi ya watu ninao wajue wanaakili pia wana hizi elimu za kimataifa (university level) nikataka kujua unamuelezaje mtu huyu ambaye anasema kitu unacho kujua tena ndicho kiko kwenye majukumu Yako ya kila siku anapo ongea tofauti na uhalisia wake...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo: Tanzania haitakubali kupangiwa marafiki wala maadui

    Nina andiko langu kuhusu unyumbu wa kisiasa na unyumbu wa usuli liko jikoni (human herding) Unyumbu wa kibinadamu ni tabia ya wale unao wajua kwamba wanaakili lakini ndiyo wanaongoza kuarisha kufikiri Kwa nafsi kwa ajili ya kulitumikia kundi Fulani kwa masilahi ya kikundi hicho na binafsi...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Muungano Huu Shaghalabaghala: Mzanzibari ni Mtanzania, ila si kila Mtanzania ni Mzanzibari

    Swali fikirishi je panya anaweza kupanga njama za kumuua binadamu
  10. B

    JamiiForums Tanzania Nielimishwe: Je, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ukivunjika baadhi ya mikoa ya Tanganyika ni himaya halali ya Zanzibar?

    Muungano ulipatikana kinajimu waliofaidika wameondoka, wanaofaidika Kwasasa niwale walioko kwenye mnyonyoro wa thamani
  11. B

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Fedha: Napendekeza Gari au trela zilizosajiliwa Zanzibar kufanya kazi Tanzania bara ili kutatua changamoto baina ya pande mbili

    Wamiliki wa hayo magari na hizo trela ni wakina nani, swali la nyongeza je huu muungano hauna ubaguzi
  12. B

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    Hayo matatizo yanatokana na uongozi mbovu wa CCM, kiini cha mfumo wa kuto tenda haki CCM haishilirikishi wananchi kikamilifu Hayo matatizo ya wananchi yataendelea kuwepo kwasababu Tanzania tumeamua kutumia mfumo wa unyumbu wa kisiasa Unyumbu wa kisiasa ni mfumo wa wanaopewa dhamana kuahirisha...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    Kero nyingi za wananchi ni matokeo ya mfumo wa uongozi wa CCM (kero ambazo zimesababishwa na CCM) Unworking government machineries
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia, Afrika imepewa nafasi 9

    Nilivyo waona jana naweka alama ya ?
Back
Top Bottom