Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

kwani ni kipi cha kushangaza hapo gentleman?

barabara zimejengwa kwa lami kote nchini, usafiri wa uhakika upo kutwa kucha, usiku na mchana tena kwa gharama za kawaida kabisa. Unenda leo, unarudi leo popote Tanzania hivi sasa gentleman.

hayo yote yamefanywa na viongozi wa serikali sikivu ya CCM chini ya Dr Samia Suluhu Hassan.
Geita Iringa ni mwendo wa masaa tu gentleman, unaenda na kurudi mchana kwa mchana.

Ni muhimu mkayajua na kuyaelewa mambo haya, kabla ya kupotosha wafuata mkumbo na malofa wenzenu gentleman 🐒
Kwa hiyo kwa kuwa barabara zimejengwa ni sawa mtu kumfukuzia waziri mkuu karibia mikoa minne alifuatilia laki nane yake ambayo halimashauri hawajamlipa miaka 10 kwa uzembe tu.
Alafu akishafika kwa waziri mkuu ye kazi kusema haya mpeni laki nane yake
 
Nilimsikia juzi anadai eti baada ya simba na yanga mtu anayeongoza kwa kutajwa ni yeye.

Niwaombe watanzania tukatae huu uzamani na mbinu za kienyeji kutatua matatizo ya watu. Huyu mheshimiwa ni mzito wa kusoma alama za nyakati. Hii mbinu aliitumia na kuipatia sana magufuli lkn hata hivyo haikuja na suluhisho ingawa yeye alikuwa walau anaumia vile viongozi wake wa chini walikuwa wazito kutatua hata mambo madogodogo.

Pia soma: Dkt. Mwigulu: Nilishataka kila mmoja ajaze fomu kitu alichonacho, nikaambiwa nitaleta taharuki kwanza hiyo niachane nayo
Mwacheni Mwigulu afanye kazi.
Madudu mengine anayibua yanatisha.
 
Nilimsikia juzi anadai eti baada ya simba na yanga mtu anayeongoza kwa kutajwa ni yeye.

Niwaombe watanzania tukatae huu uzamani na mbinu za kienyeji kutatua matatizo ya watu. Huyu mheshimiwa ni mzito wa kusoma alama za nyakati. Hii mbinu aliitumia na kuipatia sana magufuli lkn hata hivyo haikuja na suluhisho ingawa yeye alikuwa walau anaumia vile viongozi wake wa chini walikuwa wazito kutatua hata mambo madogodogo.

Pia soma: Dkt. Mwigulu: Nilishataka kila mmoja ajaze fomu kitu alichonacho, nikaambiwa nitaleta taharuki kwanza hiyo niachane nayo
Tatizo hii mada yako inamshambulia Mwigulu huku ikionyesha kwamba wewe ni mmoja wa wale wanaotumwa kumchafua.

Anakwenda walipo wananchi na kutatua shida zao, tatizo kwako wewe ni zile sifa anazopewa na watu ndio kinachokuuma!??.

Mtu wa kawaida ukimtatulia shida yake kwa kiasi kikubwa kiongozi umeshapunguza mzigo wa kazi zako za kila siku.

Waliomsindikiza JPM mpaka ndani kabisa ya uwanja wa ndege ni wananchi aliokuwa akishinda nao kwenye site za ujenzi wa barabara na madaraja, watu aliokula nao vyakula vya mama lishe wakati ujenzi ukiendelea.
 
Mimi sio ccm.ila ninapoangalia mikutano ya mwigulu na kutatua matatizo Yao hapo hapo.
Kwa kweli namkubali sana.
Kuna watu ukiwasiliza matatizo Yao mpaka unajiuliza hivi mwigulu asingekuwepo angepata wapi haki yake?
Kweli mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
 
Nilimsikia juzi anadai eti baada ya simba na yanga mtu anayeongoza kwa kutajwa ni yeye.

Niwaombe watanzania tukatae huu uzamani na mbinu za kienyeji kutatua matatizo ya watu. Huyu mheshimiwa ni mzito wa kusoma alama za nyakati. Hii mbinu aliitumia na kuipatia sana magufuli lkn hata hivyo haikuja na suluhisho ingawa yeye alikuwa walau anaumia vile viongozi wake wa chini walikuwa wazito kutatua hata mambo madogodogo.

Pia soma: Dkt. Mwigulu: Nilishataka kila mmoja ajaze fomu kitu alichonacho, nikaambiwa nitaleta taharuki kwanza hiyo niachane nayo
Nachukia sana viongozi wanaojipendekeza kutatua matatizo ya baadhi ya wananchi nje ya mifumo iliyopo...tena mbele ya camera... Huo ni upendeleo wa wazi!
Kama wanajali kiasi hicho ni kwanini wasibadilishe, kuwezesha au kuboresha mifumo iliyopo ili kila mmoja anufaike equally?

Ila nawachukia zaidi WaTanganyika wanaotumiwa na viongozi kujipatia umaarufu feki!
 
Mimi sio ccm.ila ninapoangalia mikutano ya mwigulu na kutatua matatizo Yao hapo hapo.
Kwa kweli namkubali sana.
Kuna watu ukiwasiliza matatizo Yao mpaka unajiuliza hivi mwigulu asingekuwepo angepata wapi haki yake?
Kweli mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Hizo ni dalili za ujinga...
Kwenye nchi ya watu zaidi ya 60M tegemea kuwa wenye matatizo kama hayo yanayopelekwa kwa viongozi wa kisiasa ni wengi... Kiongozi makini angejitahidi kudeal na mifumo iliyofeli kutatua matatizo ya WaTanganyika!

Unasolve tatizo la mtu mmoja mbele ya camera alafu wengine wakasaidiwe na nani? Au nao wajipange foleni kusubiria microphone?
Ujinga ujinga ujinga!
 
Hizo ni dalili za ujinga...
Kwenye nchi ya watu zaidi ya 60M tegemea kuwa wenye matatizo kama hayo yanayopelekwa kwa viongozi wa kisiasa ni wengi... Kiongozi makini angejitahidi kudeal na mifumo iliyofeli kutatua matatizo ya WaTanganyika!

Unasolve tatizo la mtu mmoja mbele ya camera alafu wengine wakasaidiwe na nani? Au nao wajipange foleni kusubiria microphone?
Ujinga ujinga ujinga!
Wewe huna tatizo ndo maana haujamfata.
Ila wapo wenye matatizo ndo maana wamemfuata.hata Mimi sijamfata.kwa hyo hauwezi kuona umuhimu wake mpaka yakukute.
Muacheni asaidie
 
Nilimsikia juzi anadai eti baada ya simba na yanga mtu anayeongoza kwa kutajwa ni yeye.

Niwaombe watanzania tukatae huu uzamani na mbinu za kienyeji kutatua matatizo ya watu. Huyu mheshimiwa ni mzito wa kusoma alama za nyakati. Hii mbinu aliitumia na kuipatia sana magufuli lkn hata hivyo haikuja na suluhisho ingawa yeye alikuwa walau anaumia vile viongozi wake wa chini walikuwa wazito kutatua hata mambo madogodogo.

Pia soma: Dkt. Mwigulu: Nilishataka kila mmoja ajaze fomu kitu alichonacho, nikaambiwa nitaleta taharuki kwanza hiyo niachane nayo
Kwanza ni jambo la ajabu waziri mkuu hasa wakati ambapo serikali inapaswa kubana matumizi kuzunguka na kutatua matatizo ya shamba linalogombaniwa na watu wawili wakati kuna mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa,waziri husika.Hii inaonyesha kuwa mfumo wetu wa utatuzi wa migogoro na upokeaji mogogoro ama umekufa au umejaa urasimu.Pili waziri mkuu ni kama ameacha majukumu ya kuwa waziri mkuu ameuvaa uwaziri wa kila sekta.Kazi ya waziri mkuu ni kuhakikisha utendaji lakini yeye ameacha hilo na anatafuta umaarufu binafsi.
 
Mimi sio ccm.ila ninapoangalia mikutano ya mwigulu na kutatua matatizo Yao hapo hapo.
Kwa kweli namkubali sana.
Kuna watu ukiwasiliza matatizo Yao mpaka unajiuliza hivi mwigulu asingekuwepo angepata wapi haki yake?
Kweli mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Hayo matatizo yanatokana na uongozi mbovu wa CCM, kiini cha mfumo wa kuto tenda haki
CCM haishilirikishi wananchi kikamilifu
Hayo matatizo ya wananchi yataendelea kuwepo kwasababu Tanzania tumeamua kutumia mfumo wa unyumbu wa kisiasa
Unyumbu wa kisiasa ni mfumo wa wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri Kwa nafsi kwasababu ya kulitumikia kundi Fulani na masilahi binafsi kwanjia ya kujipendekeza na unafiki a.k.a kujizima data
 
Mpuuze tu hana lolote hata sifa na haiba ya U Waziri Mkuu hana....Hata mawe tu haya mpendi kabisa aliwahi kuyaandika - Mwigulu..Mwigulu..Nchemba- yakachukia na yakaamua kujifuta maandishi hayo.
 
Back
Top Bottom