Ila mimi kwa upande wangu ni kama nishaizoea tu hii hali japokuwa huwa naumia sana mkuu maana kuna madili huwa yananipita kushoto coz yanahitaji sana social interaction afu kuna wengine huwa wananichukulia kama naringa. But all in all ni kujikubali tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.