Thread yangu ni kama kichokoza mada.
Katika miaka ya zamani wezi, mafisadi, wauza unga wengi walitakatisha fedha kupitia ndoa, mhusika anaoa ama kuolewa na public figure yeyote then kutakuwa hamna maswali yeyote kuhusiana na matumizi yake kifedha kutoka kwa jamii.
Kwa miaka ya karibuni...
Hizi pia zinaweza kuwa sababu:
1. Chakula anachokula, siyo nyasi tu
2. Kundi la mnyama(omnivores)
3. Hygiene ya mnyama
4. Haiba ya mnyama(anaweza akakung'ata ukiwa unamkamua)
5. Mfumo wake wa umeng'enyaji chakula (siyo ruminants)
Kuna mchele unauzwa na kampuni ya Korie wanaita mchele wa mbeya upo kwenye package ya 5kg, huu mchele ni utapeli mtupu wamepack mchele wa kitumbo halafu wanaubrand kama mchele wa mbeya ili wauze bei juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.