Wakuu nimekuja kwenu kuomba mwenye uwezo wakunichimbia bwawa lakufugia samaki kuanzia 12000-15000 tuwasiliane kupitia 0756888861.nakabidhiwa likiwa tayari likiwa limekamilika kila kitu yaani likiwa tayari kwa ajiri yakufugia samaki .
Wakuu nimekuja kwenu kuomba mtu mwenye uwezo wakunichimbia bwawa la kufugia samaki na kulitengeza liwe tayari kwakuweka samaki naomba tuwasiliane kupitia 0756888861.nahitaji bwawa lenye uwezo wakufuga samaki kuanzia 12000 haad 15000 napatikana singida.pia karibu kwa ushauri maoni na nyongeza.
wakuu nimekuja kwenu natafuta geti kama kwaajili ya flemu za duka pia ambaye anauza nivizuri angetoa na bei yake flemu zenyewe zina upana wa futi sita na urefu wa futi Tisa.
Ww asikuambie mtu kulingana na uchumi wetu Tecno wako poa sana ebu angalia uwezo wa phatom6 inauzwa laki6 halafu uniambie Samsung au Sony yenye uwezo kama wa phatom6 itauzwa shilingi ngapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.