habar za mda huu wadau wote wa sekita ya madini
Kama nilivyotangulia kusema hapo juu nahitaji muwekezaji katika uchimbaji wa dhahabu mkoan singida nina lesen pml kuna maduara tayar udhalishaji ni 1gram kwa tani hadi 5gram kwa tani inategemea ni duara lina urefu gani lkn maduara yanapata miamba...
Nina kovu la kichwani ambalo lilisababishwa na mashilingi utotoni sasa nywele hazioti naomba ushauri wenu ni wapi nitapata tiba yakutibu hili kovu na nywele zikaendelea kuota kama kawaida.
Natumain wote ni wazima mnaendeleea na kupambana kutengeneza uchumi wenu na wa Taifa letu.
Nahitaji marine board na mirunda vilivyotumika Dodoma au singida kama unauza au unajua anayeuza na unaweza kuniunganisha naye nitafute 0625695552 .
Natumain wote ni wazima mnaendeleea na kupambana kutengeneza uchumi wenu na wa Taifa letu.
Nahitaji marine board na mirunda vilivyotumika Dodoma au singida kama unauza au unajua anayeuza na unaweza kuniunganisha naye nitafute 0625695552 .
Ukizingatia usafi shambani na kuwepo na mvu za wastani haishambuliwi na wadudu ila siwezi kudhibitisha hilo maana nyakati zinabadilika ila hapa kwangu sikuwahi kupiga dawa kuhusu soko kidogo nichangamoto nilitafuta wanauza matunda sokoni na magengeni kadha nikawa nawapelekea ilisaidia kidogo...
Naishi singida nahitaji kulima parachichi naomba wazoefu wa maeneo na watalamu mnishauri nimkoa gani nasehemu gani nzuri kwa kilimo hicho kati ya Mikoa ya Iringa, Mbeya na Njombe ikizingatia maeneo ambayo parachichi zitakubali,upatikanaji wa mashamba,miundombinu na soko .natanguliza shukuran kwa...
Kama unataka kujenga nyumba yakichina mfuate mchina ndiyo maana vitu vya kichina vinahalibika haraka ila kama unahitaji kujenga ya imara na yauhakika fuata ushauri wa fundi chuma namm kuna chumba kimoja cha najenga bush ila nimejenga kwa kulaza tofauti nguzo nimetumia 12mm na slab nitatumia 12mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.