MAABARA NI NINI
Maabara ni jengo maalumu lilojengwa mahususi lilosheheni mashine na vifaa maalumu (machine and equipments) na vitendanishi (reagents) kwa ajili ya kufanya majaribio (trials), vipimo (tests) mbalimbali kulingana na mahitaji. zipo maabara za aina nyingi sana kama vile maabara za...
Ni 3 In 1
Inafanya Printing, Scanning na photocopy, iko katika hali nzuri na imetumika miezi mitatu tu.
Bei yake ni 400,000 TZS na kila kitu chake kipo ikiwepo setup CD na cable wires zako. Mzigo uko Dar kwa mwenye uhitaji unaweza nicheki tufanye biashara.
Mawasiliano 0657490134 au 0686685351
Graphics designing inakua kwa kasi lazma ubunifu uongezeke, nakubali sana kwa sababu umethubutu kufanya lakin kaza buti kiwango chako ni kidogo kiongozi, mi nafanya graphics sina uwezo mkubwa ila kidogo nina mwanga wa kujua ubora wa kazi
Check baadhi ya kazi zangu.
Kunywa maji haimaanishi et ni uzembe au mwanamke anatuzidi la hasha bali kwenye miili yetu kuna reaction mbalimbali zinafanyika zinazopelekea kupata nguvu na hata hizo sperm tunazomwaga wakati wa tendo la ndoa.so wakati wa tendo la ndoa wanaume tunatumia kiasi kikubwa cha nguvu na maji ndo maana...
Hii hapa
phooto X5C 1 2.4GHz Mini RC Quadcopter Drone camera 4CH 6 Axis Gyro Remote Control Helicopter 300,000 pixel Load FPV Live Aerial-in Camera Drones from Consumer Electronics on Aliexpress.com | Alibaba Group
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.