Recent content by Benews

  1. Benews

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    We jamaa una wivu sana , utadhani mhindi baba yako
  2. Benews

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    🤣🤣🤣 hapo panahitaji busara sana lakini kiuhalisia tanzania hajafuzu kwenye kundi bali amefuzu kwa jumla ya timu zote best looser wa mashindano
  3. Benews

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Best looser hailipwi mkuu
  4. Benews

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Man u aliamua kuondoka na milion 72 yangu 😓
  5. Benews

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kila mtandao una vigezo na masharti ambapo kimsingi kwa mty anayejielewa kabla ya kukubali sheria na masharti na kujisajili nilazima asome na kukubaliana navyo
  6. Benews

    Tanzania kuibuka mabingwa wa AFCON 2025

    Unachanganyikiwa kijana
  7. Benews

    Kisa cha rais Mkapa na spika mstaafu Anna Makinda

    Namuona mama wa Taifa Titi mohhammed
  8. Benews

    Kutambua Kama mtoto ni wako kwa kutumia Blood Group

    Hii mada yako haina usahihi mkuu. watu wote duniani wapo katika magroup matano tu A, AB, B 0 , na Group Nadra. Sasa kivyovyote wewe watu unaofanana nao blood group ni wengi sana kwahiyo hoja yako haina mashiko
  9. Benews

    Kisa cha rais Mkapa na spika mstaafu Anna Makinda

    Acha kuandika pumba unadhani kila mtu ni mjinga ? Uliza aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Ruvuma 1995 hadi 2000 ni nani
  10. Benews

    Kutambua Kama mtoto ni wako kwa kutumia Blood Group

    Haya majamaa ambayo hayajaenda shule ndio yanakuja kutusumbua huku mtandaoni ma habari za upotoshaji . Hivi mtu kabala hujaandika kitu huwezu hata kujihoji?
  11. Benews

    Kama Qur’an ni ya watu wote kwanini ilishuka kwa Kiarabu?

    Ilishuka kivipi mkuu ? yani haikuandikwa na binadamu na wala haikuchapishwa?
  12. Benews

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sio lazima fanya upendavyo
Back
Top Bottom