Kila mtandao una vigezo na masharti ambapo kimsingi kwa mty anayejielewa kabla ya kukubali sheria na masharti na kujisajili nilazima asome na kukubaliana navyo
Hii mada yako haina usahihi mkuu. watu wote duniani wapo katika magroup matano tu A, AB, B 0 , na Group Nadra. Sasa kivyovyote wewe watu unaofanana nao blood group ni wengi sana kwahiyo hoja yako haina mashiko
Haya majamaa ambayo hayajaenda shule ndio yanakuja kutusumbua huku mtandaoni ma habari za upotoshaji . Hivi mtu kabala hujaandika kitu huwezu hata kujihoji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.