Recent content by BenElohimy

  1. BenElohimy

    Mrejesho wa Interview TPA

    Kwanza kabisa shukrani kwa wale wote waliyotoa mawazo na michango mbalimbali. Terminology zilizokuwa kwa paper hazikuwa ngumu sana kwa maana ya watu waliyosoma mambo ya bandari from the Scratch watakuwa wametusua. Research haikuwepo kabisa. Lakini pia sifa na utukufu na Heshima kwa Mungu...
  2. BenElohimy

    Interview TPA (Bandari)

    Nitatoa banaa
  3. BenElohimy

    Interview TPA (Bandari)

    Shukrani
  4. BenElohimy

    Interview TPA (Bandari)

    Operational officer II
  5. BenElohimy

    Interview TPA (Bandari)

    Asante sana dua ya muhimu
  6. BenElohimy

    Interview TPA (Bandari)

    Asanteee
  7. BenElohimy

    Interview TPA (Bandari)

    Msaada please aliyewahi fanya interview huko. Mimi nimesoma Bsc. In statistics, lakini sasa tumechanganywa kozi kama zotee yaani. Msaada msaada nifanyeje, nipeni mwangaza, hii ni first interview
  8. BenElohimy

    Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

    ni mtu mwenye utata sana katika ngano za Kiyahudi. Jina la Lilith halijajumuishwa katika hadithi ya uumbaji wa Torati lakini anaonekana katika maandishi kadhaa ya midrashic. Ishara, historia na fasihi yake vinajadiliwa kati ya wasomi wa Kiyahudi, wanafeministi na wasomi wengine. Kuna hadithi...
  9. BenElohimy

    Hivi unalijua jambo hili?

    Wewe ndiye umesema
  10. BenElohimy

    Hivi unalijua jambo hili?

    Nyie mtakuwa wachawi aiseeee
  11. BenElohimy

    Hivi unalijua jambo hili?

    Unapolala na kuamka halafu ukauona mwanga ni MUUJIZA tosha!! Unapolala mchana au usiku kitendo cha kuwaona wanaokuzunguka ni MUUJIZA tosha!! Kitendo cha wewe kuzaliwa na kukua hapa duniani ni MUUJIZA tosha!! Kwani kuna wengine walitupwa mitaroni, madarajani, baharini n.k Sasa wewe sijui...
  12. BenElohimy

    NDUGU ZANGU TUACHENI UVIVU

    Lipende neno la Mungu usikimbilie miujiza. Miujiza yaweza kabisa ikawa haina neno, ila neno linayo nguvu ya kusababisha miujiza Neno namaanisha Yesu, kwa hiyo kuna miujiza ambayo haitokani na Yesu, ila ukiwa na Yesu yeye hutoa muujiza Miujiza haiwezi badilisha akili ya mtu au uelekeo wa mtu...
  13. BenElohimy

    Kama unaamini, omba kwa maana kila kitu kinawezekana

    OMBA acha kuaza kushindwa OMBA acha kuaza kwamba litachukua muda sana OMBA kwa maana kila kitu kinawezekana. Haleluyaaaaaa, Good Morning
  14. BenElohimy

    Kazi ya Mungu duniani

    Nawasalimu wote katika jina la Yesu Kristo. Yawezekana na wewe unayesoma mahali hapa umekuwa ukijiuliza sana ni kwa namna gani nimtumikie Mungu!! Lakini muda huu ashukuriwe Roho Mtakatifu na Kristo wake kwa kunipa neema ya kukuandikia andiko hili. Yohana 6:28-29 (KSW) Basi wakamwambia...
Back
Top Bottom