Watu wngine hata haijulikani, ukungu utawatoka lini machoni!! Maskini Maina.... nakuonea huruma saaaaana. Huu ndio wakati muafaka wa kuijulisha jumuia ya kimataifa (acha Maina na akina maina wengine wenye fikra kama zako) kuwa Bongo kumekucha. Hakuna tena zile fikra za "Kidumu CCM". These are...
Kufanywa au kutofanywa wajinga inategemea mtu amnaelewaje na anatafsiri viti taratibu na sheria zinazosimamia eneo husika. Naamini mdogo wangu Zitto ana akili timamu na anafanya jambo bila kukurupuka kama unavyodhani. Demokrasia ni pamoja na kujua jinsi ya kuwa mwana dipromasia pia. Kijana huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.