Recent content by Benderea

  1. B

    Pole sana Mpoto kwa kufiwa na mke wako, umezimia, Pole tena. Sasa fikiria akina Ben saanane et al wapendwa wao wanakuwa na hali gani! Pole

    Huyo ni bonge la msanii ! Mtu aliezimia atalala vile kwenye kiti ??? Aliezimia huwa anapotoza fahamu na kuanguka chini kwa kuwa anakuwa hajitambui lakini huyu unamuona kabisa kajilaza kwenye kiti na macho yake kafumba kuhadaa watu ! Mshenzi sana huyu ! anafanya usanii mpaka kwenye kifo ! ama...
  2. B

    Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

    Kwa taarifa tu makampuni ya madini ya SA ndo wamiliki wakubwa wa migodi ya Kongo ! Hivyo serikali ya SA ina maslahi Kongo kwa maana ya kwamba malipo yote wanayopokea makampuni hayo yanapitia katika mabenki ya SA hivo serikali inapata kodi kbwa tu
  3. B

    Kanye West na mkewe kwenye red carpet za Grammy

    n AKnye nae si angevua tu nguo zote kama kweli ???
  4. B

    Bashungwa: Serikali inatakeleza Mradi wa kununua magari 150 ya Zimamoto na kuyasambaza Nchini

    Ni pesa mingi saana yaani ! Nasisitiza wakanunue kiwanda cha nyumbu Kibaha wanatengeneza magari ya Fire kwa bei nafuu sana.
  5. B

    Bashungwa: Serikali inatakeleza Mradi wa kununua magari 150 ya Zimamoto na kuyasambaza Nchini

    Magari ya zimamoto nunueni nyumbu Kibaha wanatengeneza kwa bei nafuu kwa nini mkanunue nje ????
  6. B

    Tems jana kashinda tuzo ya Grammy, Zuchu yuko busy kumpikia Diamond kababu na vileja. Hawa wasanii wanakwama wapi?

    Hivi huyo anaepika hapo jikoni ni mwanamke au mwanaume ? naomba mnisaidie jubu ! Hizi make up hiziii!
  7. B

    PreGE2025 Wassira atawasumbua sana Lissu na watu wake

    Huyu Mzee Tulikuwa tuna sukuma nae documents enzi zile pale Long room huku akiwa kashika mfuko wa rambo ! Duu ! Tumetoka mbaaliii ! Wakati ule CCM walimpiga kibuti akahamia NCCR Mageuzi ! Jina lake la utani anaitwa Tyson ! Hakawii kurusha ngumi !! Muulize Mzee Kikwete atakwambia !
  8. B

    Barabara ya Mbweni kwenda Boko Magengeni imefungwa!

    Ndugu wadau, Ningependa wananchi wafahamu kuwa barabara muhimu inayotoka Mbweni Kijijini kupitia Malindi , masaiti hadi Boko Magengeni imefungwa ! Hii ni barabara muhimu sana hasa kwa wakazi wa Mbweni kijijini na wengineo wa njiani. Cha ajabu haieleweki kwa nini imefungwa ! Ikumbukwe kuwa...
  9. B

    Crescentius Magori afafanua masharti magumu ya FIFA kwa wachezaji waliobadili Uraia ili waweze kucheza Timu ya Taifa

    Sasa wee Magori hebu tuambie huyo Kibu Dennis wenu anazaidi ya miaka mitano hapa nchini ? Naj ee ana mzazi hapa TZ ??? Mbona yumo timu ya Taifa ??? N a alishaanza kucheza siku nyingi tuu !Acheni ujinga !!!
  10. B

    Jeshi la Uhamiaji rejesheni operation kama Kikwete za kuwafukuza wahamiaji haramu

    Tegeta,Bunju Boko na Mbweni wamejaa warundi na ndio waendesha bodaboda na bajaji wakubwa viongozi fanyieni kazi
  11. B

    Rais Ibrahim Traore wa Burkina Faso alikaa Jukwaa kuu na bunduki yake wakati wa uapisho wa Rais mpya wa Ghana

    Huyu jamaa ni mshamba tu ! Kwani nani haijui ye ni mwanajeshi ? Kama anahofia usalama wake asingeenda basi !
  12. B

    Wakili LEVINO: Mbowe is Politically uncircumcised. Kwenye masomo yote ya IDU yeye peke yake kapata division zero

    Huyo LEVINO ndo nani ? Si akaanzishe chama tumuone na yeye ? Usimchezee mwamba wewe LEVINO huwezi kujilinganisha nae hata robo
  13. B

    CHADEMA imfukuze Lissu sasa

    Sawa weka basi.Unataka kama kufanya ule mchezo wa kunyelushana
  14. B

    Katika suala hili la kitabu cha Kabendera, naona kuna mfululizo mkubwa wa matukio nyuma yake

    Izy_Name nikuambie kitu, Mwandishi kamzungumzia Magufuli sasa kama Rais na historia yake kama alikua sasa alikuwa na haja gani ya kuwazungumzia marais wengine wakati wao sio wahusika katika kitabu hicho ?? Tafakari
Back
Top Bottom