Recent content by Benca

  1. B

    Ushirikiano huu wa 'Kinafiki' kwa Timu za Tanzania zinazoshiriki Michuano ya Kimataifa GENTAMYCINE siuafiki na siutaki

    Yote hayo shida ni 22/7 tupunguze makasirikoo Wana JF. Ona hata wewe mwenyewe Kuna muda ka nafsi Kako kanaona kabisa ni kweli ulichapia kidg lakn maneno yanakua mengi kufuta ka aibu Genta kuchapia ni kiawaida sana. Usiwake sana utapasuka kisa ka pie kwelii!!!!!!!!! Pie ni kitu ya kuleta...
  2. B

    Ushirikiano huu wa 'Kinafiki' kwa Timu za Tanzania zinazoshiriki Michuano ya Kimataifa GENTAMYCINE siuafiki na siutaki

    Ni sawa pia coz Kuna watu wanaona dhahabu katika mchanga na wapo wanaoona mchanga katika dhahabu. Kama umeliona hilo pia sio mbaya kuliko ungetoka patupu bila kuona chochote
  3. B

    Ushirikiano huu wa 'Kinafiki' kwa Timu za Tanzania zinazoshiriki Michuano ya Kimataifa GENTAMYCINE siuafiki na siutaki

    Ni sawa yote utakayojisikia kusema it's ok sikupingi kwani una uhuru WA kuongea, lakin naamini Kuna kitu umeng'amua hapo
  4. B

    Ushirikiano huu wa 'Kinafiki' kwa Timu za Tanzania zinazoshiriki Michuano ya Kimataifa GENTAMYCINE siuafiki na siutaki

    24/7 😂 Nini hiki GENTAMYCINE, ulilenga pie sivyo basi Wacha nikurudishe shule kidogo ilifaa uweke 22/7 🏃🏃
  5. B

    Mwenye soko la Pumba anitafute

    Wap huko mkuu tupeane connection
  6. B

    Kipi Bora kati ya kununua Tofali na kufyatua mwenyewe

    Basically unafuu upo kwenye kufyatua mwenyewe thats why kuna watu wanafyatua na kuuza na bado wanapata faida kubwa na maendeleo yao tunayona mkuu, Okoa pesa mkuu
Back
Top Bottom