Recent content by Benbulugu

  1. Benbulugu

    Tundu Lissu na CHADEMA mnavuna mlichopanda!

    Waendelee tu mkuu,inawauma nini mbona chadema wako kimya na kiongozi wao yuko magereza tu.
  2. Benbulugu

    Humphrey Polepole: Rostam ni mfadhili mkuu wa wanamtandao, alipora 'Channel Ten', kauziwa kihuni mgodi wa Makaa ya Mawe na Serikali

    Nnakuelewadada Grahams ,unachokimaanisha...kusema ukweli hivi vita nivigumu mno,nasisi watu wenye imani tunabakia kua wanyonge tunatamani sana MWENYEZI MUNGU awe upandewetu kwa sasa au ajidhihirishe,iweje shetani ajidhirishe kiasi hiki mbele YETU???!!!
  3. Benbulugu

    Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Mkuu umenena kwa uzito mkubwa sana mkuu.
  4. Benbulugu

    Nashauri: CHADEMA, wafuasi wa Lissu, Ndugu, Rafiki na jamaa Wasiende Mahakama kuanzia siku ya Leo

    Mungu alibariki broo,inakitu cha ziada kaka,.aweke mgomo wa kusema chochote kitu.
  5. Benbulugu

    Je, Ndoa ni Jela ya Wanaume? Je, walioko ndani wanatamani kutoka?

    Japokua tushaingia ila nakubaliana nawewe.
  6. Benbulugu

    Uoga wa Ku-Take Risk – Tofauti Kati ya Wazungu (Westerners) na Waasia/Mashariki (Easterners)

    Oyaaaa,natarajia huu uzi uwe na wachangiaji wengi sana,unatuhusu sisi tulio wengi na roho za uoga
  7. Benbulugu

    Taswira iliyoonekana kwa wote waliokuwepo leo mahakamani wakati Lissu akiongea inatoa tasfiri nzito mnoo

    Hata mimi ndicho nilichokigundua nikama anahutubia fulani hivi.nahauchoki kumsikiliza that's.
  8. Benbulugu

    Ukiwa kama mstaafu, au mzoefu kazini, shauri au toa mbinu mbalimbali zinazofaa kwa mtumishi hasa wa local government azitumie ili afanikiwe kiuchumi

    Uzi huu ni mzuri,wengi wetu ni wahanga wa maisha ya local government... tunahitaji ushauri kuepuka kuchanganyikiwa
  9. Benbulugu

    Ukimwezesha Mwanamke wako unajichimbia kaburi lako mwenyewe

    @Half american labda tutumie falsafa hiyo ya kwako.kuepuka kilio
  10. Benbulugu

    Ukimwezesha Mwanamke wako unajichimbia kaburi lako mwenyewe

    Spana hizi nikali sana mkuuu,tuhurumie sisi wakosefu wanaume.ningumu sana kuukwepa mkono wa mwanamke ,labda uishi naye kiholela bila kujali lolote hata kama umezaa nae,tofauti na hapo ukijali kitu kidogo tu kuhusu yeye, tayari unakua ushajichimbia kaburi lako mwenyewe.
  11. Benbulugu

    Ukimwezesha Mwanamke wako unajichimbia kaburi lako mwenyewe

    Spana hizi nikali sana mkuuu,tuhurumie sisi wakosefu wanaume.ningumu sana kuukwepa mkono wa mwanamke ,labda uishi naye kiholela bila kujali lolote hata kama umezaa nae,tofauti na hapo ukijali kitu kidogo tu tayari unakua ushajichimbia kaburi lako mwenyewe.
Back
Top Bottom