Nnakuelewadada Grahams ,unachokimaanisha...kusema ukweli hivi vita nivigumu mno,nasisi watu wenye imani tunabakia kua wanyonge tunatamani sana MWENYEZI MUNGU awe upandewetu kwa sasa au ajidhihirishe,iweje shetani ajidhirishe kiasi hiki mbele YETU???!!!
Spana hizi nikali sana mkuuu,tuhurumie sisi wakosefu wanaume.ningumu sana kuukwepa mkono wa mwanamke ,labda uishi naye kiholela bila kujali lolote hata kama umezaa nae,tofauti na hapo ukijali kitu kidogo tu kuhusu yeye, tayari unakua ushajichimbia kaburi lako mwenyewe.
Spana hizi nikali sana mkuuu,tuhurumie sisi wakosefu wanaume.ningumu sana kuukwepa mkono wa mwanamke ,labda uishi naye kiholela bila kujali lolote hata kama umezaa nae,tofauti na hapo ukijali kitu kidogo tu tayari unakua ushajichimbia kaburi lako mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.