Recent content by Benazir Buto

  1. B

    Slaa: CHADEMA tunajua Kamati ya POAC haijafutwa, Makinda hana Uwezo wa Kuifuta

    huyu mama kichefuchefu kitupu....... hongera jakaya kwa kutuwekea mdoli huu
  2. B

    CHADEMA mmejifunza nini kwenye mkutano wenu Temeke

    pole baba wewe naona kazi inavyokushinda
  3. B

    Maandamano ya kumlaani Spika Makinda

    Hakuna haja yakuandamana,tuwafunze watu juu ya ukatili huu wa wazi ili waje kuamua miaka miwili ijayo
  4. B

    Anne Makinda: Hoja binafsi marufuku kuanzia sasa!

    hawa watu wanatia hasira,...nyeeeeeeee mi basi tu nitafanyaje sasa
  5. B

    Jamani, Sijatangaza kuwa mrithi wa Makinda

    nisamehewe mimi mlete mada ila sikuwa na nia mbaya
  6. B

    Jamani, Sijatangaza kuwa mrithi wa Makinda

    .....hatuishi hivyo
  7. B

    Sherehe za CCM Dodoma Zaingia doa, Wang'oa bendera ya CHADEMA, Aden Rage ashuhudia

    alikuwa wapi? wakati mwingne huwa tunakosea,kama aliwafuata kwenye mkusanyiko wao akiwa na sare za chadema lazima haya yatokee
  8. B

    Mrithi wa Makinda huyu hapa

    nimemuona rose kaja hapa kujibu, mimi sikusema amejitangaza nilisema kuna tetesi
  9. B

    Sakata la gesi Mtwara: Kauli ya Profesa Muhongo

    Tanzania inachekesha kweli...sasa waziri kama hajui hivi meya na madiwani si watakuwa wametoa macho tu kwa mshangao!!!! Haki ya mungu mi tanzania nahama..nitarudi watanzania kakiweka watu wenye akili madarakani....hapana nimeghairi sihami.ngoja nikomae niwe mmoja wa wakombozi wa taifa hili
  10. B

    mkapa ameisaliti ccm gesi ya mtwara

    ndoto ni nini kwani? kama ukiota mambo hutokea basi hili nalo liingizwe kwenye maajabu saba ya dunia
  11. B

    Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

    namkubali sana mnyika,ila kwa ufupi namshauri asije akalewa sifa kama wale wengi,afanye kazi ya chama na mungu atampa uongozi kulingana na dhamira yake.
  12. B

    Mwanasiasa bora kijana 2012 Tanzania

    mimi nampendekeza mnyika,ni kijana anayejituma asiye mroho wa madaraka,ila pia namshauri asije akalewa sifa yakamkuta ya mwenzie....human diginity is everything to me
  13. B

    mkapa ameisaliti ccm gesi ya mtwara

    hilo ni swali nalo jamani? mkapa alikuwa mtwara siku chache kabla ya manamtwara kuingia barabarani.
  14. B

    Picha: Kwa mwendo huu CCM kwaheri 2015

    iinavyoonekana wao wanavuna chadema magamba wanaonunua kadi na kutoka(naona kadi za cdm zote mpya),na sisi tuwakwangua ccm wote kuanzia waliojiunga enzi za mwalimu hadi kizazi cha akina mkapa,hakuna mwehu wa kujiunga na ccm kwenye manyanyaso haya ya kikwete
  15. B

    mkapa ameisaliti ccm gesi ya mtwara

    inasemekana kuwa wanamtwara wamekuwa wajeuri na majasiri juu ya tamko la serikali kuhusu gesi yao kutokana na hamasa kubwa waliyoipata kutoka kwa rais huyo mstaafu.mkapa iliwaambia wanamtwara wakiruhusu gesi kwenda dar es salaam watajihalalishia umasikini wao kuwa wa kudumu. amesema wapigane...
Back
Top Bottom