Hivi ni kweli wasomi wanamuangusha MH.RAISI au ni wanatoa changamoto sana na kutotaka kwenda kulingana na matakwa yake na kutohitaji msomi hata asiyejua kusoma kumpa madaraka Je.!? Huyo mtu ataweza kuwaongoza wasomi ama ndio kusema UONGOZI ni kipaji toka kwa Mungu.!?
TANZANIA YA VIWANDA PASIPO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.