Recent content by ben10jr

  1. ben10jr

    Kujichua ama kupiga punyeto kwa wanawake

    Mmmhhh[emoji15] [emoji15]
  2. ben10jr

    Kutokwa jasho wakati wa kufanya mapenzi ni tatizo?

    Kupiga goli moja kwenye mgegedo energy inayotumika ni sawa na kulima hekta 7. Sasa unategemea usisweat kweli?
  3. ben10jr

    Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)

    Folk, una heri wewe, na umebarikiwa kuijua siku ya kufa i karibu, at least unayo nafasi ya kujiandaa kiroho kukutana na Muumba wako. Ni heri kwako maradufu kuliko kufa kifo cha ghafla mfano ajali ya gari ama heart attack. Jipe moyo mkuu, jipatanishe na Mungu, mbingu ni yako! Candle in the wind!
  4. ben10jr

    Tuhoji uraia na usafi wa Magufuli

    JF kweli siwawezi, mmeshindikana! Nimebaki kinywa wazi
  5. ben10jr

    Tuhoji uraia na usafi wa Magufuli

    Hili swali toka October 12 2015 before general election lilikuwa hai, until now!
  6. ben10jr

    Watu wa Kigoma ni Watanzania kama Watanzania wengine

    Nina mashaka watoto watakaozaliwa na wazazi wa KG awamu hii watapewa majina ya kimasai na ya kisukuma ili kuwaondolea kadhia huko mbeleni
  7. ben10jr

    Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

    Kwa taarifa yako, humu JF wapenzi wa kweli na wanaogegedana kweli wala hawajoinyeshi humu, ni mwendo wa "kimya kimya" tu. Ishu zao wanamaliza PM. Wanaoitana hapa baby sjui swirrie etc etc ni mbwembwe tu!
  8. ben10jr

    Reli ya SGR: Je, Tujifunze kwa wenzetu Kenya kuepusha SGR yetu kuwa ‘A White Elephant’? Wenzetu yameshawakuta...

    Ushauri mzuri, on transit cargo zote zipelekwe direct Moro na Isaka. Hapo pia tutaponya barabara zetu kuharibiwa na malori mazito. Lakini wakati huohuo tukubali hasara ya upande mwingine. Kuondolewa kwa malori yanayofuata mizigo Dar, indirectly kuna mapato ya Serikali yatapotea, na pia kuna...
  9. ben10jr

    Kujichua ama kupiga punyeto kwa wanawake

    Hasara mojawapo ya punyeto kwa ladies ni kukakamaa kwa vaginal walls na kupoteza mikunjo/marinda ya vagina/RUGAE (hasa kwa wanaotumia dildo). Kukakamaa kwa vaginal wall consequently athari nyingine hujiyokeza, nayo ni kushindwa ku absorb proteins (hasa steroids) zilizomo kwenye semen/shahawa...
  10. ben10jr

    Daaah hizi Barbershop nyinyi kinadada mmetuweza

    Kadiri wake zetu wanavyoona wivu sisi kufanyiwa scrub huko saloon na wadada warembo, ndivyo nasi wanaume tuonavyo wivu wake zetu kusuguliwa miguu na watengeneza kucha! Wacha tu....nilishamkataza wife hizo huduma nafanya mwenyewe! Shubaaamit
  11. ben10jr

    Ushauri: Mke wangu kaniambia mtoto wa kwanza sio wangu na baba yake anamuhitaji

    Yes, gharama ipo, lakini kama akiwa amefungua shauri mahakamani, akishinda, basi mshtakiwa wake (huyo bibie + bwanake) watatakiwa kulipa hizo gharama. Unless akakute results za DNA zinasema mtoto ni wako.
  12. ben10jr

    Ushauri: Mke wangu kaniambia mtoto wa kwanza sio wangu na baba yake anamuhitaji

    Chukua card ya mtoto ya klinic itoe photocopy. Ni ushahidi mahakamani kama ukiamua kudai compensation. Anaweza kuibadilisha.
  13. ben10jr

    Ushauri: Mke wangu kaniambia mtoto wa kwanza sio wangu na baba yake anamuhitaji

    Baadhi ya members hapa wanasema DNA test ni process ndefu, wengine wasema ni gharama sana,...mimi nakuambia sivyo. Gharama ni usafiri wako na mtoto kwenda hadi ofisi za maabara ya mkemia mkuu iliyo karibu nawe (let say kama ni Kigoma nadhani utaenda maabara ya kanda-Mwanza). Na gharama za vipimo...
  14. ben10jr

    Ushauri: Mke wangu kaniambia mtoto wa kwanza sio wangu na baba yake anamuhitaji

    Plan A: Fanya application za chuo, ukipata admission omba ruhusa kwa mwajiri wako, nenda masomoni kaongeze elimu. Meanwhile, hama nyumba mnayoishi, mwachie kila kitu. Kaanze maisha yako. Usigombane naye wala kumpiga au kumtusi. Hiyo ndiyo fimbo itakayomuumiza usiku na mchana. Na huyo mtoto...
Back
Top Bottom