Upinzani bila kujali tofauti zao ili waiondoe ccm ni lazma waungane, tena sio wasubir mpaka uchaguzi ufike ndio waungane no, waungane sasahivi maana baadae watakuwa wamechelewa
Akienda tu atakamatwa, hata hivyo ameomba apewe kinga asihukumiwe wala kukamatwa kwa kosa lolote alilotenda akiwa madarakani aruhusiwe akaishi kijijini kwao lakini ECOWAS wamekataaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.