hii clip niliiona jana itv,hawa polisi walikuwa wanapiga mabomu na risasi kuwatawanya watu na hapo kigwa walikuwa kama wanamuokoa na sio kukamatwa kama mnavyodhania,amepanga hili tukio zima aonekane shujaa,hili gamba haliwezi kuniibia kirahisi hivi!!!!
staged event..hamjastuka tu wakuu?huyu mhuni anatufanya sisi mabwege!!!hayo yote ameyapanga kupata umaarufu kwa damu za hao vijana,kaanza kampeni za 2015,..akafie mbele huko.
rais wa kwanza kuunda vikundi vya mipasho na kuvihonga hela kumwaga mipasho kila anapochemka..a laughing stock president,nitamiss mipasho akirudi msoga mwakani.
nimeona kwenye tv,wale polisi sio kwamba walitaka kumpiga risasi,walikuwa wanamuokoa kama rais,hili tukio amelipanga huyu hamis k,muhuni sana huyu gamba kigwa,nyie vijana wa nzega mtauliwa sana kwa hii mipango ya kumtengenezea umaarufu inayopangwa pale tamwa magogoni..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.