Wadau habari za usiku,
Poleni na mihangaiko ya kutwa nzima kama kichwa kinavyosema hapo juu saidia kuwezesha kufanikiwa kwa hili na malipo mtagawana kila mwezi au kila itakavyokuwa, kadri mtakavyokubaliana na mwenye blog.
Ni inbox namba yako muhusika atakucall myajenge.
Karibuni
Kwa wale wanaotumia sigara,bangi na madawa ya kulevya na wanahitaji KUACHA hii ndyo dawa mujarabu kwa
⚡wanywaji wa pombe
⚡Bhangi, sigara
⚡Mirungi , ugoro
⚡Na madawa mengine ya kulevya ukitaka KUACHA
Chukua dawa inayoitwa MURDA , chukua majani yake uyaanike yakauke
Kisha...
-Nunua mafuta ya simba
-UDI Wa kijiti 4
-Unga Wa baruti
-Magome ya mkungu yaliyokauka
Changanya mafuta ya simba,baruti,na unga Wa magome ya mkungu
Pakaa Dawa hyo kwenye UDI 4 za kijiti
Chomeka udi hizo kwenye pembe NNE za Nyumba au chumba
Washa udi hizo ukianzia kushoto...
Amani iwe juu yenu
leo nawapa tafsiri ya ndoto hii ya kupaa au kuruka na kwenda hewani
Ndoto hii huotwa sana na watu wenye ustaarabu au wapole na wenye dalili za mafanikio au wenye mipango mikubwa inayokwama
Kuota unapaa kama wewe ni mtegemeaji kazi za vibarua na kazi za kuitwa...
NJIA YA KIGANJA CHA MTOTO
Njia hii ya kumuita jini muovu aliyehasi na kumtumia kwa kutumia kiganja cha mtoto mdogo ambaye hajabalehe ni njia inayofahamika sana na wachawi sababu ni miongoni mwa njia wanazozipenda sana kutokana na urahisi wake na wepesi wa kuleta majibu kwa kuhudhuria kwa jini...
Watu wengi hupenda sana nywele zao ziwe katika muonekano mzuri na zenye afya tele,katika hali ya kutafuta mafuta ya kuweza kuziboresha zaidi watu wengi hujikuta wakitumia gharama nyingi katika kununua mafuta mbalimbali yenye makemikali na hatimaye kujikuta wanapata athari ktk nywele zao bila...
kutengenezwa ni lugha tu inayotumika lkn kiuhalisia hakuna binadamu anayeweza kumuumba jini bali wanakuwa tayari wapo ila hizo njia ni kama kumtiisha atoke huko aliko na kukutii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.