Nilichokiona Makonda kaumia sana kuondolewa Kuwa mwenezi, na anawasiwasi wa kupigwa chini kabisa,anachofanya saiv nikutumia gharama yeyote aonewe huruma na Raisi
Aliulizwa Obama kitugani huku fanikiwa ktk uongozi wako na unaumia kutofanikisha alijibu kuwa"ni kutopatikana kwa chanjo ya cancer wakati mamilion ya Wamarekani wakiangamia kwa mwaka".ni kweli ocean road wagonjwa wa cancer wapo lakini huwezi linganisha rate ya cancer Tanzania na first world...
Magufuli Nilikuwa simkubali Kwa mambo kadhaa ila ingekuwa ndio yupo ktk hili kunawatu wangewajibika.
Athali za mazao ya GMO yaliyoasisiwa na kampumi la Monstanto corporation ni makubwa sana,
Mazao haya huathiri deli za mwilin hivyo kuelekea magonjwa ya cancer,hubadili hormone za mwilin,hushusha...
Wakiandamana kwa fujo na kufunga Mitaa, mtafungua thread hapa kwamba Chadema ni chama Cha vurugu (note my word)
Hakuna asiyejua Chadema kuwa ni Chama Cha mikikimikiki.kwahari ya kisiasa iliyokuwepo kwa takribani Mika nane iliyopita SI rahisi kupata waandamanaji wengi kiasi hicho,Hadi hapa...
Aisee boss, sijui nakupataje unipe madini kidogo kuhusu maelezo yako ktk maada hii,NWO naifaham kwa sehem lakini sijajua kama wanaagenda kama hizi.
Nakupataje mkuu at least unaweza indirect hata source za kilichonyuma ya picha hii
Yaani UDSM imekuwa ya hovyo Sana siku hizi,Generali Ulimwengu alisema "sikuhizi UDSM imekuwa form ten" yaani chuo kinampangia mtu namba ya kugikiri.
UDSM miaka hiyo mambo sensitive ya nchi Yalikuwa yananzia pale kupingwa au kuungwa mkono kwa hoja,rejea kipindi Cha Akina Samweli Sita waanzilishi...
Tofautisha kulopoka majukwaani ili kufurahisha watu professional standing order .CCM haijaajiri askari katika nchi hii ni serikali ndiyo imeajiri,Makonda apige kelele na madiwan,wabunge na wenyeviti wa vijiji n.k (Waliopatikana kwa njia ya siasa) na SI kuhoji watu walioingia kazin kwa weledi wa...
Ndugu kama umeandika haya pasi na kujua basi Mungu akurehemu,Lakini kama unafanya kwa Makusudi unaonyokubwa juu yako.Papa kavalishwa hicho cheo kinyume kabisa na neno la Mungu Tena cheo hicho kimeshiba damu za watu wengi sana........
Hizi ndio kauri tunazosema awe makini huyu jamaa, Hivi mwandishi wa habari akimuuliza Swali "Ndugu Makonda kwa kauli yako uliyosema Je Risasi alizopigwa Akwilina Hadi kufa,mauaji ya Mwangosi, mauaji ya Mawazo,mabomu aliyowahi kupigwa Dr Slaa Arusha kwenye maandamano n.k Je ni nyinyi CCM mliagiza...
Saiv Makonda ndo mwenye CCM tangu kiongozi wa juu Hadi wa chini wanamwangalia yeye! Jambo ambalo SI zuri sana kwenye Chama Cha siasa.
Pia Makonda inatakiwa awe makini sana na kauri zake kunawakati anaongea vitu vitakuja kumgalimu kama kauli yake wakati akiwa Moshi anatumia muda mwingi kuattach...
Makonda alikurupuka sana kusema Lissu kakimbia maandamano, miongoni mwa wanasiasa anaependa mikikimikiki pale Chadema Lissu ndo babalao. Ingekuwa ngumu sana kwa Lissu kutoshiriki maandamano hayo.Makonda ilibidi amzungumzie Lissu baada ya maandamano kama asingekuwepo kweli.
Hilo jambo halijakaa sawa,mfungwq atapigaje kura wakati hata kampeni za uduwani,ubunge na uraisi haja shiriki Wala kisikiliza sera.Sina hakika kama magereza yetu yanavyombo vya habari kama TV!hapa wanataka kutengeneza kura feki
Ninyi ndomlikuwa mnalalamika Magufuli alipokuwa akisifiwa kama Mungu Leo mnarudia na nyinyi kusema Chadema ni Chama Cha Mungu! Acheni upuuzi huu "kila neno Liwe la Siri au wazi litaletwa hukumuni" Mhubiri 12:14
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.