Recent content by Belo

  1. Belo

    Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

    Kuna yatima wengi walipatikana baada ya October 29 2025,angewaasili na wao
  2. Belo

    Yanga nawaomba msitishe mara Moja mpango wa kumleta Coach Rakotondrabe wa Madagascar

    Sikubaliani nawe kwenye 1,2 & 3 huko kwingine nakubaliana na wewe 1.Ulikuwa wakati sahihi kumuuza Aziz Ki kwa umri aliokuwa nao,alichokifanya nyuma na fedha aliyonunuliwa ,Aziz Ki aliondoka kabla msimu haujaisha lakini timu ilikuwa inacheza vizuri na kwa wakati ule hakuna aliyeona pengo la...
  3. Belo

    Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

    Tafuta namba za maafisa ardhi wa halmashauri husika wasiliana nao watakueleza mchakato ukoje
  4. Belo

    Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

    Bado sijamaliza kulipia,nikimaliza nitakuja kuelezea mchakato mzima wa ununuzi kupitia huu mfumo,faida,hasara na mbinu za kutumia
  5. Belo

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Tulikwambia acha propaganda za Kitoto
  6. Belo

    TANZIA Hassy Kitine, Mkurugenzi wa zamani wa Idara ya Usalama afariki dunia

    Ni yule binti mweusi ? Niliwahi kuwaona Dom Kama ni yeye ni bi mdogo au mke wa kwanza waliachana/fariki?
  7. Belo

    TANZIA Hassy Kitine, Mkurugenzi wa zamani wa Idara ya Usalama afariki dunia

    Huyu ndio kisa kikubwa cha Big Ben kugombana na mshikaji wake Jenerali Ulimwengu
  8. Belo

    Ujenzi chumba sebule Jiko na choo

    Ukiwa na 15M Kuchimba msingi na kuujenga Kupandisha tofali Kuweka lenta Kuezeka Plasta Shimo la choo Fremu za milango & Milango Grill Skimming & Rangi Aluminium Tiles Wirering
Back
Top Bottom