Recent content by Being Pablo

  1. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Mdudu anayesumbua dunia hasa Africa

    Acha kupotosha huyo ni mdudu kwenye stage ya lava katika ukuaji yaani "kiwavi"
  2. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunakwama wapi? Milion 1 ya Kenya ni sawa milion 20 ya Tanzania, haya ni maajabu

    1ksh = 10.77South Korean won lakin uchumi wa South Korean ni 1.7 Trillion USD kwahyo msitishwe na vitu kama hivyo ni kawaida
  3. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Kila mtu amezaliwa akiwa muislamu, ubatizo ndio unaomfanya mtu kuwa mkristu

    Bro we ndo umepotoshwa coz umeaminishwa tu na umeyabeba jins yalibo without questioning wala reasoning mi japo sjakwambia kua naamini katika elimu za kizungu lakin huku ni facts,reasoning pamoja na kufikiri kwa kina ndo msingi si kuamini amini tu hovyo
  4. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Wewe unatumia pombe zipi??? A. Pombe za Asili B. Pombe za Kiwandani

    Doh😔☹️ poleni aisee, na wengineo msio tumia vileo mpaka sasa tusione kama ni jambo dogo inatakiwa tujishukuru na tuendlee kukaza hili sio dogo kabisa
  5. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Kila mtu amezaliwa akiwa muislamu, ubatizo ndio unaomfanya mtu kuwa mkristu

    Mimi siamini dini yeyote bahati nzur, na kuhusu ardhi kunibana hata ww litakutokea hilo japo mi siamini huo upuuzi, ebu acheni uvivu wa kufikiri yaan kisa tu umekuta babaako na mamaako wanafuata hayo ukakuzwa kwenye hayo hata ulipo pata akili zako huwezi changanua mambo kweli uyapime come on
  6. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Wewe unatumia pombe zipi??? A. Pombe za Asili B. Pombe za Kiwandani

    Situmii pombe za aina yoyote
  7. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Kila mtu amezaliwa akiwa muislamu, ubatizo ndio unaomfanya mtu kuwa mkristu

    U Ufuasi wa Dini ni utahira hasa kwa waafrica amka uliko lala acha kuamini hadithi za uongo za mtu mwehu eti mtume bullshit
  8. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Msemo usemao 'Christopher Columbus aligundua Amerika'ufutwe mara Moja na usitumika wakati wa kuwafundisha wanafunzi wa Tanzania

    Collumbus hakugundua America❌️ N0!!!! unatakiwa useme Christopher alikutana na bara ra America au useme alivamia America mnamo mwaka 1492,au alifika America mnomo mwaka 1492
  9. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Rasmi nimeligundua hili, Mungu na Shetani hawapo: Dini ni utapeli

    Kama hicho kisimu chako cha kichina ki creator mtu aliye kiunda kina systems kadhaa ambazo ni simple systems kama chaji,sauti na mifumo mingine vipi kuhusu wewe usiwe na creator ambaye ni zaidi ya genius ambaye katengeneza jinsi ulivo bora na unamifumo ming na very complicated na akakupa na...
  10. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

    13.Ali fanya elimu kuwa bure ili wananchi wote wenye navyo na wasio kuanavyo waweze kupata huduma hii muhimu kwaajili ya ukombozi wa fikra zao na kufungua maisha yao mi ni shuhuda wa jinsi elimu bure ilivo nisadia had leo hii nilipo mimi hilo tu linanitosha kumtaja kama kiongozi bora kabisa ktk...
  11. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Hachafuliki: Tunampenda Rais Dikteta na Kichaa Aliyefanya haya

    Hayo nimachache tu katika mengi na wanao mdiss chuma wengi wao ni zao la wazazi waliokua na vyeti feki, ila ili nchi yetu isimame tulimhitaji sana huo ndo ukweli
  12. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kazi

    Mi kwa sasa malipo sitazingatia sana ila nitazingatia zaid kazi, kiukweli hatuwezi shindwana kwenye malipo
  13. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kazi

    Asante kwa ushauri
  14. Being Pablo

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kazi

    Okay asante
Back
Top Bottom